Najua kuna watu wengi wakristo kwa waislam ambao wameguswa na huu uzi. Narudi kwenu kuomba tuufunge rasmi kwa manufaa ya taifa. Nina rafiki zangu wengi waislam na hata ofisini wapo tena wanafanya kazi vizuri mno na competent kweli ila katika intake za miaka minne iliyopita hapa baba aliteleza...
Siwezi kuweka majina ya watu hapo kwani ni kinyume na taratibu pia nikiweka majina ni sawa na kuweka kibarua changu rehani. Nafikiri nafasi ya kuchunguza hili jambo lipo wazi na ukweli au uongo wangu utajulikana soon tena kabla hata jogoo hawawika. Njia zipo njia za kudhibitisha kama unataka.
Nimesikitishwa sana na jinsi ambavyo shirika la umma kama NSSF lilivyoingiliwa na udini uliotamalaki hasa katika masuala ya ajira na kupanda vyeo.
Nakumbuka nikiwa katika pannel ya interview hali ilivyokuwa mbaya japo shirika linaendeshwa na msomi ila ameshindwa kujizuia katika kuonyesha...
Waislam ni wanafiki sana. Wakiwa peke yao wanasema uhuru wa tanzania uliletwa na wao. Wakiwa azarani wanasema Nyerere ndo alileta uhuru hawa magaidi vioi mbona siwaelewi
Umetumwa si bure maana hizi habari ni za kupika ili kuhalalisha unyama ulofanywa na waislam. Hakika umefel mapema katika hatua ya kwanza wewe na kisiwa. Wakristo ni easoni hawawezi kudanganyika kirahisi hivi. Lol!
Nimetafakari sana kuanzia mwanzo wa hii thread, nafikiri wamalawi wana kila sababu ya kutuporomoshea matusi kwani hata sisi wenyewe hatujijui. Angalia juzi Mbagala wale jamaa wametutukana na kutuchomea makanisa yetu ila mkubwa kufika kule akawa anacheka tu! Unafikiri hizi taarifa hazifiki nje...
Yupo sawa kabisa , ccm umefika muda sasa wa kujiandaa kuwa chama makini na kinachotegemewa cha upinzani hapa Tanzania. Unajua surprise si nzuri hivyo wajindae mapema taratibu hadi 2015
Ester Bulaya anaonekana anatumia sana "hoja ya nguvu" katika ushawishi wakati Ester Wasira anatumia "nguvu ya hoja".
Jana Ester Wasira nilimchek akijenga hoja, ni mzuri katika kushawishi, anajiamini, anajua nini anakisema peke yake bila kusimamia miguu ya chama. Bulaya anatumia sana miguu ya...
Kwa siku za hivi karibuni pamezuka wizi wa kuaminika unaofanywa na company ya bima ya afya iitwayo AAR. Kwa wale wafanyakazi ambao wanatibiwa chini ya company hii kwa kutumia kadi za waajiri wao wamekuwa wakibambikiziwa bill kubwa saana bila wao kutumia hiyo huduma au hailingani kabisa na huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.