Wazo langu kwenye hili.
1. Changamoto ya kwanza ni steady paycheck ndio itakuwa mwisho wake, ukishavuka daraja na kufika ng'ambo ya pili ukajiajiri sio kweli na hawezi ikatokea kwamba kila mwezi utapata kipato kile kile kwahiyo itakubidi uweze kufanya adjustment ya budget yako (kama uko mwenyewe...
Naomba kujifunza kwako kuhusu biashara ya layers na broilers kimahesabu! Na kama umeshafuga chotara uka prove loose pia naomba testimony yako biashara ilikwendaje (kimahesabu kama unavyo sisitiza). Nitashukuru nikipata mrejesho.
Poleni na mihangaiko ya kila siku.
Naomba kama kuna mtu anauelewa juu ya kilimo cha matunda machungwa kwa mikoa ya Tanga, Kibaha na morogoro (hata sehemu moja).
Anisaidie kunijuza juu ya ukulima huu kuanzia kwenye:
1. Aina bora ya machungwa yanayokubali sana maeneo hayo.
2. Gharama za...
Za asubuhi ndugu zangu.
Naomba kama kuna mtu anauelewa juu ya kilimo cha matunda hasa machungwa kwa mikoa ya Tanga, Kibaha na morogoro (hata sehemu moja). Anisaidie kunijuza juu ya ukulima huu kuanzia kwenye aina ya machungwa yanayokubali sana maeneo hayo, gharama za upatkanaji wa mashamba...
Okay. Naona unamawazo madogo sana na unafikiria kwamba mpka upate makubwa ndio ujihesabie umejipanga hii itakusumbua sana.
Mwanachuo aliye weza kupata bahati ya kupata boom anapewa boom mara mbili kwa semester ya miezi 4 kwahiyo ni kila baada ya miezi miwili.
Sasa basi mwanachuo huyo mwenye...
Inategemea na jamii ya kuku chotara, wengine ni watagaji wazuri ila sio waatamiaji wazuri na wengine wanafanya vyote kwa uzuri sana.
Tumia mabwana shamba walio karibu na wewe na hasa tafuta wafugaji waliofuga kwa muda wa kuanzia mwaka kuku chotara hawa wanakuwa na experience nzuri zaidi na kwa...
Mwanafunzi wa chuo anaweza kujipanga mwenyewe kabisa, ila ubaya ni kwamba watu wengi hatuna kitu kinacho itwa "saving culture" tunategemea mwisho wa siku tutapewa au tutaomba kila kitu.
Tuchukulie mfano wa kijana aliyejitambua na mwenye malengo thabiti kabisa. Anapo anza mwaka wa kwanza akaweza...
Nashindwa kuelewa kwann serikali isitoe asilimia sifuri hiyo pesa ya kujikimu kwa kila mwanafunzi wa elimu ya juu na hizo ada na mambo mengine ndio kukawa vipaumbele...
Wanaweka grade Kali za kuchuja watu kuingia vyuoni alafu hao wachache wanaoingia huwezi kuwa hudumia sielewi nchi yangu...
Na hizi fununu za kwamba wanafunzi walio soma private schools kuwa hawana kigezo cha kupewa mikopo wewe unatathmini vipi!?
Na kwa wale wanafunzi walio andikiwa kwenye account zao walizo apply nazo mikopo kuwa wamepewa na baada ya wiki kubadilishwa kuwa hawajapewa unalitathmini vipi?
Na kwa...
Nahitaji kujikita katika ufugaji wa kuku wa kienyeji ila ninapata shida kujua ni mbegu gani ya kuku ambayo itanisaidia kukuza kipato changu kwanza ni mbegu gani iko vizuri kwenye kutaga mayai yengi na pili ni mbegu ipi hupata nyama nyingi na kuongeza kilo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.