Wakubwa tuache unafiki huu wa kipumbavu. Nikiwa nina maana hii:
1. Nani hajui kuwa hii nchi ilifikia mahali ambapo haiwezi kulinganishwa na nchi nyingine yoyote ile hapa DUNIANI kutokana na UOZO MTUPU!
2. Hata angekuja mtu kutoka sijui wapi nikiwa na maana kutoka katika chama chochote cha...
Wakuu ninaomba kusema haya:
Kwa yeyote mpenda Taifa letu hana budi kutoa ushirikiano wa kila hali na mali kwa Mhs Rais wetu, maana anayoyafanya yanaonekana na yataendelea kuonekana
Kwa upande wa upinzani, ni kiasi cha kutumia akiri na busara na kuwa creative and innovative katika kujiweka sawa...
Wakuu siku zinayoyoma!
Mwenye nafasi aangalie mataokeo ya uchaguzi wa Canada uliofanyika jana na baada masaa machache mshindi alisha famika. Mshindi ni mtoto wa Marehemu Truede aliyewahi kuwa kiongozi wa nchi hiyo!
My take:
Tume huru ni ufunguoa ma usalama na utulivu wa nchi. Na hii inachangia...
Barua kwa Dr. Slaa
Ninaomba upate dakika chache upitie hiki kibarua kifupi ili upate mioyo ya wapenzi wako chini ya chadema inavyopiga kutokana na sintofahamu iliyopo kuhusu shughuli zako katika chama chako cha CHADEMA.
Dr. Slaa, mimi pamoja na maelfu ya Watanzania waliopo ndani ya nchi na...
Wana JF hapa kuna kitu rahisi.
Kwa mfano kama asilimia kubwa ya wabunge wa Bunge lijalo ikiwa ni ya wapinzani, hii INA MAANA kuwa budget ya elimu ambayo haitaboresha mishahara ya walimu haiatapitishwa KAMWE!
Je walimu wetu wanalijua hili?
Wana JF
Heshima kwenu! Wakati nchi nyingi za Afrika zinajaribu kutafuta mbinu za KUPAMBANA NA WIZI WA MAMILION NA VIONGOZI MAFISADI, Rais mpya wa Nigeria anaziomba nchi kama USA nk kusaidia kurudisha hele zilizoibiwa wakati wa kipindi kilichopita cha Utawala.
Anasema Serikali haiwezi kulipa...
Wana JF wengi wetu tunapenda mabadiriko ya kweli yatokee hasa mwaka huu. Na haya mabadiriko yanaweza kutokea baada ya matokeo ya uchuguzi mkuu ujao kuwa kama ifutavyo:
1. Rais ajaye atoke katika vyama vya UPINZANI au atokee ktk chama tawala lakini awe ni mtu ambaye akiangaliwa na wale wote...
Ndugu wana JF,
Inatia wasi wasi mkubwa kuwa hata kabla ya uchaguzi kutakuwa na maandamano ya hapa na pale kutokana na watu walio wengi kukosa kuandikishwa. Na hii tutaiona baada ya siku saba zilizowekwa na tume ya UCHAGUZI!
Kwa sisi ambao tupo Mikoani/Vijijini, kwa kweli hali ni ya hatari sana...
Kwa hali ya siasa ilivyo hapa nchini ni mawazo yangu binafsi kuwa ni lazima kati ya haya yatokee katika uchaguzi Mkuu ujao:
1. Mkuu wa nchi ajaye atatokea upande wa UKAWA. Na hii inawezekana kama elimu kwa wananchi kuhusu maslahi na haki zao itakuwa imeeleweka. Kwa watu ambao hawafungamani na...
wana jf huyu mhs insa kaisi kaishia wapi? Nilitokea kumfahamu wakti nipo tabora boys secondary school wakati akiwa mkuu wa mkoa wa tabora. Alikuwa jembe kama mwakyembe (kabla mwakyembe hajabadirika).
Nitashukuru....
Hivi kwa wale wenye kufuatilia hii issue ya hela za Mkombozi bank, ni kweli huyu mama ndiye amekosa mpaka kuambiwa aachie ngazi? Ingawa uwaziri siyo profes.... lkn ninaona kuna watu wamemukalia vibaya as if ni fisadi! Hapa ninaona kuna kitu kimefichwa chini ya pazia zito kabisa. Kwa wale ambao...
Hivi kwa wale wenye kufuatilia hii issue ya hela za Mkombozi bank, ni kweli huyu mama ndiye amekosa mpaka kuambiwa aachie ngazi? Ingawa uwaziri siyo profes.... lkn ninaona kuna watu wamemukalia vibaya as if ni fisadi! Hapa ninaona kuna kitu kimefichwa chini ya pazia zito kabisa. Kwa wale ambao...
Wakuu ningependa kupata kijani ambaye ana ufundi wa electronics.
Awe amemaliza form 4 au kama si hivyo awe anajua kiingereza.
wasiliana nami: wabuyaga58@gmail.com
Note: Awe anaishi sehemu za Bukoba au Muleba kwani shughuli zitakuwa katika maeneo hayo.
Ndugu wana JF,
Ninaomba niongee machache kutokana ninayoendelea kuyaona katika kufanya biashara pamoja na kazi za kiofisi hapa nchini.
Je ni kweli sisi tunashindwa kuthamini muda wa kazi? Inakuwaje mtu mnapanga kukutana saa nne, eti baadae anatoa excuse kuwa alisahau au ana shughuli nyingine...
Wakuu salaam!
Kwa yeyote ambaye ana uhakika na AFYA YAKE KWA ASILIMIA 100 HANA BUDI YA KUMSHUKURU MUNGU. JE WEWE UNAMSHUKURU MUNGU AU HAUNA UHAKIKA NA HIYO AFYA YAKO?
WENGI waliojitoa kundini ili kutafuta KUNDI jingine ambapo labda wakiamini kupewa UONGOZI wa kuongoza KUNDI hilo jipya, wameanza kuomba kurudi kwenye kuNdi lao la zamani! Swali ni kwamba je MLANGO BADO UKO WAZI? NA KAMA UMEISHAFUNGWA, JE WAENDE WAPI? NI TAARIFA TU!
Wakuu Kutokana na hali kuzidi kuwa mbaya hasa katika kutekeleza majukumu yaliyowekwa na Serikali yetu na hasa tunapoona mawaziri wetu inabidi wabadilishwe kila mara, je isingekuwa muda mzuri sasa kujaribu kupata hawa watu toka nchi za nje jamani?
Kama mawaziri wenye elimu hasa maprofessors, ma...
Ndugu wana JF ninaomba kama kuna mtu/watu ambao wako tayari kushirikiana na mimi ili tupate product made in Tanzania by tanzanian na iwe katika standard za viwango vya ulaya ili tukauze Ulaya!!
Mimi mwenyewe ninaishi Ulaya na ninafanya kwenye kampuni zao hapa Ujerunmaini kwa hiyo kama mtu au...
WANA jf HELA NI NZURI LAKINI HAKUNA KIZURI KUWA NA MPENZI WAKO AMBAYE UNAJUA SI MUATHIRIKA HASA KWA KIPINDI HiKI WAKATI MAISHA YANAZIDI KUPENDEZA! AU MNA MAWAZO MENGINE NA MAWAZO YANGU?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.