Maisha yamebadilika zama zinakimbia ukiona kitu kinakusumbua unakipiga chini wewe kama wewe unawaachie wengine waendelee na elimu iendelee kutolewa kuhusu madhara mtu aamue mwenyewe yupo tayari? Kama la basi anaacha kwa amani anazidisha ibada msikitini na kanisani kuwaombea wengine wasitumbukie.
We endelea kufanya kinachokupendeza ndugu hujakatazwa kila kitu kina madhara yake kila mtalaam akianisha madhara ya Kila kitu mbona shehe utatembea mtupu napo kuna madhara mionzi 😂😂
Wao watafiti wanadai kuwa too much is harmful zingatia hilo sio kila game unazama uvinza baadae utajisahau utaanza kuzama topeni nalo ukaona tamu jamii itakushangaa kijana vp tena?
Na kila mafanikio ya mwanamke nyuma yake kuna mwanaume aliyemwezesha kwa namna mbalimbali kala nauli ya ndege kwa mwanamke wa uswazi mtaji huo anafungua biashara n.k huu ni mfano wapo wanawake wanakula nauli ya basi, taxi, daladala hadi bodaboda inategemea huyo mmpokea nauli yupo katika mudi...
Kila mwanaume anacho akipendacho nafsini kwake na huwezi tabiri, ukibet ni kama isemavyo kuwa wanaume wanywa soda wanapenda sana mademu yupo tayari amalize kreti usiku wa manane asubiri demu
Hata pikipiki hivyo hivyo ukiendesha Honda 110 unaweza pewa mke bure kabisa ukiipaki sehemu unayochumbia wanakuelewa fasta maana bei yake imesimama madingi wanaelewa bila m.9 humiliki pikipiki 110 wahuni wa SanLG na Boxer hamuelewi somo hili kumiliki Honda 110 lazima uwe na mpunga wa kumiliki...
Hawa hawakuwa na management nzuri ya kupiga pesa ndefu, kama wanayopiga wahuni tu kuchekesha wanalazimisha, hawa malegent nawakubali kuna wale wa Mizengwe wakiongozwa na Mkwere ni hatari.
Kama unaushahidi si uuwasilishe ofisi yeyote ya karibu ya TAKUKURU ili waanze kazi ya kusukuma ndani wote, kama ushahidi huna nawe umesimuliwa huku nikuchafuana ipo siku nawe utachafuliwa hivi hivi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.