Hata cku moja jasili hawez kutokea kwenye aman, iache chadema ipete na kufungua fursa mbalimbali. Kimsingi nimekua nikishangaa sana hiv dar kunann! Hospitali kubwa inajengwa huko, viwanda karibu robo tatu vipo dar,gas nayo wanataka indee iuko. Sasa hii inamanisha hakuna sehemu nyingine ambapo...
Poleni sana watu wa Ngorongoro lakini believe that these leaders who are betraying you one day will fall and the country will be taken by leaders of the people who will be saving Tanzanians and not their families as what is done today.
Ki ukweli kama uöngozi wa mwalimu utakumbukwa mana barabara ya kutoka KABARE kupitia MUHANGE,NYAKAYENZI mpaka KINONKO ambayo ilipasuliwa enzi za utawala wa mwalimu Nyerere Siku hizi haipitiki japo shule ilijengwa Nyakayenzi inasikitisha sana mana hata hili ghala alokuwa anakuja kuzindua mwalimu...
Jamani tumwamini Mungu hizi ni dalili kuwa Nguvu za Mungu ni kubwa kwa wanaoamini uwepo wa Mungu ko tumgeukie Mungu wetu maishani mwetu anaweza kutukinga na haya majanga ya kidunia
Hawa vijana hata wakipewa elimu ya ujasilia mali hawata weza kujiajiri mana tatizo kubwa wanalo kumbana nalo ni mtaji je huu mtaji wataupata wapi ma masharti ya kukopa benki mpaka uwe na mali zisizo hamishika au mdhamini yaani mwajiri vigezo vyote hapo hawana na wamesoma kwa shida unawashauri...
Sio wote wanakosa mikopo ila watoto wa masikini wakosapo mkopo ndoto zao huzikwa 1@1 lkn tajiri akikosa huendelea na elimu kwani kulipa anaweza ila wanataka ku2mia haki za walalahoi kujifaidisha
Kwa uchunguzi mdogo uliofanyika watoto wa maskini hufanya vizuri katika mitihani ya kidato cha nne na sita.Lakini asilimia kubwa hawaendelei na elimu ya chuo kikuu na hii imetokana na kuwa asilimia kubwa hunyimwa mkopo toka bodi ya mikopo ya elimu ya juu mfano mtoto mmoja wa maskini ameshindwa...
Kwa voda ni jambo la maana kwani wameamua kuwasaidia Watanzania ni siyo kwa nia ya kumwingiza Dr Slaa ktk ufisadi 2najua ni shujaa,jasiri, na mwenye maamzi ya busara 2naamini ataendelea na msimamo wake Jasiri haachi asili
Huyu kama ni mwalimu alyesoma na ana taaluma ya ualimu ilibidi apelekwe Mirembe Au Marumba akachekiwe kama akili ni nzuri au ina virus ili wamscan au kumformati akili yake ili aondokane na dhana potofu ya UMALAYA kichwani mwake awaze somo la Kiswahili co NGONO kama anavyo mponda CHOMA mwanafunzi...
Mi hili ni jina langu la utoto na limeungwa na tafsiri yake ya kiingereza ambayo nikiunganisha herufi za kwanza za majina yangu linatokea neno Rack as my nick name tangu o level 2 a level
Hivi huyu Ponda kaegemea wapi? Lakini wanajuana wadhaifu serikali makini na viongozi makini sio wakutishwa na waharifu akatishika wamechoma makanisa na kupora lkn hawajuti kwa uovu huo Cha kushangaza eti kova bila aibu anathubutu kumpeleka mahakani mtoto alyekojolea msahafu kabla ya kufata...
Kama bodi hii iliundwa kwa ajili ya kuwafanya watoto wa walala hoi waweze kuendelea na elimu ya juu lakini watoto hawahawa ndo wananyimwa mikopo mfano wanafunzi kadhaa wamenyimwa mkopo mara 2 mfululizo na ili hali matokeo yao ni mazuri yani wana division 1 form 4&6 na ni mtoto wa kabwela na...
Dr slaa anaweza shujaa mwenye kuwa na uamzi wa busara asiye na papara katika kuchukua maamzi tunahitaji m2 kama huyu wa kuchukua maamzi mazito kwa manufaa ya wengi na tuangalie alko kiweka chama anauzoefu katika utawala anapaswa kupewa nafasi ya kutetea wananchi kupitia CHADEMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.