Duh aisee sina cha kusema kiukweli imetuumiza wengi amefanyika msaada wakati wa majonzi kwangu kupitia kanda zake za vichekesho,Mungu aitunze familia yake na zaidi mapenz yake ya timie wanadam hatuna jinsi...Rest In Peace sharo millionair!we stil lov u
Sasa wewe unaona kuna kosa la kurekebisha kuendelea kuishi na mwanamke malaya waziwazi na mshirikina?nimeshasema swala la kuniendea kwa waganga yeye mwenyew amelithibitisha sasa huamini nini??ww ungeweza kuendelea kukaa na mwanamke unaejua wenzio wamemvua nguo na bado anakuloga si ni muuwaji...
Lakini jamani kwa hali ya kawaida km mwanamke unampa kila kitu alafu anatembea na wame za watu na bado anakuendea kwa waganga,kuna mapenzi hapo jamani?kuns kosa la kusamehe kutoka moyoni hapo?nasikiaga katika kosa ambalo mwanaume hawezi kulivumilia nipale akigundua mkewe wa ndoa anavulia nguo...
Hata hivyo hicho kipindi chote mtoto alikuwa haishi na mama yake alikuwa anaishi na bibi yake ambae ni mama yangu,kwahyo swala la mtoto kukaa nae yeye halina ulazima hata akikaa nae haonyeshi ile hali ya kujali km ndo mama mzazi wa mtoto,na sio kwamba sijali hisia zake,ila ni kutokana na hayo
Je nikiamua kuishi na huyo mwanamke mpya km mwaka kumchunguza analeaje watoto,mtoto si mdogo sana ana miaka 6 ,nikaona anafaa kulea,mana huyo mama yake mzazi tu hana upendo sana na mtoto wake wa kumzaa,je nikigundua huyu replacement anakaa vzr na watoto wangu kuna haja ya kuhudumia nyumba...
Nina mtoto mmoja,huyo atakaezaliwa ndo sina uhakika km ni wangu nasubiri azaliwe,yea nilitembea nae mara moja,nasikia wamama wa kambo wananyanyasa watoto mdomaana,huyu replecement nina karibia mwaka sasa toka nimekuwa nae na nimemuona ni mvumilivu kwani amenivumilia mambo mengi pia nimemchunguza...
Nina mawazo mpaka nakosa usingizi mimi sielewi huyo mwanamke mwingine nampenda sana na naamini nikiwa nae nitakuwa na furaha,amani,na maendeleo ila nawaza ataweza kulea watoto wangu??na kuendelea kuwa na huyu mwanamke mwenye mimba bado sitakuwa na amani kabisaa kila nikimuona napata hasira na je...
Na mbaya zaidi alikuwa anatembea na mume wa mtu na huyo mwanamke alimuonya hakuelewa akaniface mimi,ma sio mwanaume mmoja na zaodi nilikuwa sipati haki ya tendi la ndoa kumbe alikuwa na anaempa kwa mapenzi yake mimi mpaka nimlazimishe mpaka tukatengana vyumba ndani mwisho kutengana na...
Huyo replecement ilikuwa mwaka jana mwezi wa 11 mwishoni na huyo mwanamke mimba alipata mwezi wa 11 mwanzoni na alinilazimisha tendo la ndoa..sikuwa na mpango wa kuzaa nae tena,pia matatizo yalianza muda nikamvumilia sijawah kucheat mimi ni baada ya matatizo kuzidi,pia aliemsindikiza huyo...
Ivi km una mke wako,umegundua anatembea nje ya ndoa waziwazi bila vifisho na una vithibitisho,ukaamua kumfukuza,mkatengana kln akiwa na ujauzito wako na sio kutoka nje tu ila na matatizo mengine ikiwemo kutoshiriki vzr na ww tendo la ndoa na heshima ya km mume kwake haipo,baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.