nliwahi weka kuhusu uhusiano wangu na mkaka wa kiislam ,kiukweli nlikuwa nampenda sana bila kujali mambo yote aliyowahi kunifanyia kwani tuliamua kuanza upya na kusahau yote ila inafika mwezi sasa nimejikuta namchukia tu sina tena feelings nae sielewi nini kimetokea,na yeye ameligundua ilo kwan...
kwenye mahusiano uwazi na ukwel ndo kila k2 ,wote wana makosa kwan asiyerizishwa anatakiwa aseme kwa mwanzie na uyo mwenzie kama anamjali na kumpenda mwenzake anatakiwa awe anafatilia je mwenzangu anarizika na nnayomfanyia ata kwa kuuliza baada ye shughul vp mwenzangu mzik ulikuwaje kila m2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.