Hahahhahaa kula mbakishie baba nakumbuka vyema kuna siku nilicheza kijiti kikaangukia kwangu
Dadeki nilitoka mbio Balaaaaa sasa kwa ku panic nikaenda direction ambayo sio kwenye mti. Watu wakakikimbilia kwenye mti wa kawa wananisubiria sitakaa sahau nilivyohangaika kupata ule mti
Nilichezea...
Ni miaka mingi sasa tunaendekeza upuuzi katika filamu zetu za kitanzania ni lini tutabadilika?
juzi hapa nimejiloga nikaangalia movie ya kitanzania inayoitwa oprah
nikakuta makosa ya kipuuzi ambayo sikutegemmea kuyakuta matika movies za 2008
Niliangalia ile movie part 1 and 2 nilivyomaliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.