Search results

  1. C

    Anaweza kusoma kozi gani huyu

    Ndugu zangu wana jamvi. Nina ndugu yangu ambaye ni muhanga wa matokeo ya Kidato cha nne ya mwaka huu ambayo yameundiwa tume na Mheshimiwa Pinda ili kuwapa watu ulaji. Ndugu yangu huyu amepata D mbili tu yaani ana division IV ya 33 (amepata D ya kiswahili na Kiingereza). Zamani zilizopita mwaka...
  2. C

    Dawa ya Amoeba Jamani

    Habari wakuu! Nisaidieni mwenzenu, nimetumia dawa za hospitali za kutibu amoeba naona hazinisaidii sana. Naomba kwa anayefahamu dawa za asili (herbal medicine) za kutibu amoeba anijulishe. Asanteni
  3. C

    Usafiri wa kwenda zimbabwe (harare)

    Hi, ndugu zangu, habari za leo! Ninasafari ya kwenda Zimbabwe mwisho wa mwezi huu, naomba kujua kama upo usafiri wa mabasi wa kutoka Dar kwenda Harare. Na je nauli ni shilingi ngapi kwa sasa. Naomba anayefahamu anijulishe. Asanteni sana
  4. C

    Volunteering opportunities

    closed
  5. C

    Introduction

    Dear Members in Jamii Forum I am a new member in this great thinkers site. I am looking forward for your cooperation as we continue to interact and share in this site. Thanks Chilangachiba
Back
Top Bottom