Anachosema jamaa hapo juu kina ukweli lakn si asilimia mia.
Kwa ninavyofahamu mimi hasa kwa upande wa Magereza ni kwamba wanachanganya, namaanisha kuwa JKT kiasi huwepo, fom 4, form 6 na graduate mbalimbali lakini si kwamba wote lazima wawe ni JKT.
Habari za muda huu ndugu zangu JFC?
Naombeni mnisaidie computer yangu ina tatizo la kutorestart. Mwanzo kabla sijaiformat ilikuwa inauwezo wa kurestart lakini kwa sasa nikiishutdown au nikiizima kwa muda huo haiwezi kuwaka mpaka ikae muda muda fulni ndipo itaanza kuboot
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.