Alieingiza nchini hilo kontena ndie mwenye mamlaka ya kulikamata, unaona inawezekana alikamate?
Na kwa taarifa kuna afisa TRA tunduma aliwajibishwa na kuhamishwa kituo cha kazi kwa kosa la kutoa siri! Kama ilikuwa uongo kwa nn awajibishwe! Siri gani hiyo?
Tumia akili sio masaburi!
Matokeo ya uchaguzi uliofanyika jana kijiji cha utyego kata ya ubaruku cdm wameshinda 100% yaani wenyeviti wote pamoja na wajumbe wote. Uchaguzi haukufanyika jumapili sababu ya dosari mbalimbali zilizokuwepo!
Kata ya ubaruku mbarali kijiji cha majengo na vitongoji vyote cdm, kijiji cha mpakani, mkombwe na Tagamenda(mbarali) cdm imepeta na ss zinaendelea kuhesabiwa kura kijiji cha ubaruku na kuna baadhi ya mitaa imechukuliwa na cdm!
Kwa upande wa mji mdogo Rujewa ukawa wana mitaa zaidi ya 8 ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.