Si kwamba hawaoi wanawake wa kabila lao isipokuwa ni wanaume ambao wanapenda kuheshimika sana akipanga kitu basi kisibishiwe (yaani ukoloni fulani hivi) sasa wanawake wa kinyakyusa hawako hivo cz katika vitu wasivyovipenda ni kupelekeshwa wao husimama katika haki, ndani ya nyumba kunakuwa na...
In red usimfananishe na wababaishaji wengine
Huyo ndo msanii pekee anayejaribu kuvuka boda hasa bara la American anashirikiana vzr tu kimuziki na wasanii wa nje,Juzi tu katoka kupata tuzo huko Afrika Kusini, So utajiri unaozungumziwa hapa ni wa mapene na si kupotea kisanaa, Cz kuna wasanii...
Mh? bila shaka huyo ni mgeni mgeni ngoja tu aijue kazi vizuri hizo shukrani atazihitaji tena kabla ya kutoa huduma.
Ila rushwa kila sehemu ipo hospitali wanaandika mama mjamzito kujifungua bure.
Kaa na akili ya bure bila ya kujipendekeza kwa nesi au dokta mbona utachina, huku wenzio wanapewa...
Kusafiri mpendwa na huo ujauzito umechelewa ni bora tu ubaki kama wengine walivyosema.
Au ikiwezekana mwambie mmeo Mama Mkwe wako aje akuuguze au mama yako mzazi.
Usifanye mzaha kabisa, mimi nina ujauzito wa miezi sita safari tu ya Dar - Moro niliona kama naenda Kigoma sembuse uko kanda ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.