namshangaa lowasa anaongelea kupinga kauli mbiu ya kilimo kwanza wakati hata yeye ni mshiriki wa kuutangaza huu upuuzi wa kauli mbiyu hiyo.badala aongelee pesa zinazoibiwa kila kukicha na maisha ya watu yanavyozid kuwa magumu. halafu sikumbuki kama kunasiku lowasa alishawahi kuongelea wezi wa...
ni kweli mabadiliko ndani ya chama ni muhimu,lakini tunabadili nini na kwamaufaa gani????sio kila mabadiliko yanamafanikio, na ukiona watu wanapiga kelele ujue wameona,for the issue of zitto kabwe,sisuport chochote kuhusu huyu jamaa maana tayari tunajua katumika kiasi gani na mafisadi na mpaka...
Sikuhizi watu wanatafuta watu wa kufanya nao maisha na sio kigezo cha upendo.
Na wengine wanatafuta sababu ya tamaa zo,eti oh mnenene,mweupe,mwembamba,mrefu etc.nani amekwambia mke ni sura wewe kijana?????tunamtania mungu.
Kwanza lazima ukikubali kwamba kimetokea kwenye maisha yako,then kichukilie kama tatizo la kawaida na linaweza kumtokea mtu yeyote,and jiamini kwamba bado unanafasi ya kufanya viziri katika maisha yako.
Ukiwa na mtazamo huu,hatachukua mda kukisahau.
mamajack umenena vyema,kweli hali ya mabdiliko huku kwetu haina ari kivile,lakini vijana wasomi walioko huko mijini ndio wanapaswa kusaidia hayo mabadiliko,maana wazee wao huku wanataabika,
kwa mfani tulipimiwa viwanja vyetu ili tupate hat milik za kimila kwa g'harama ndogo,hat zipo ila kipata...
Wanajamvi,
Nimekuwa nikitafakari juu ya hali halisi kuhusu mstakabali wa nchi yetu. Kweli Mwenyezi Mungu aliipendela Tanzania akatupa utajiri wa asili yaani madini,mafuta gase,wanyama mito, bahari,misitu na zaid ardhi yenye rutuba!pia aliendeleea kwa kuweka watu (watanzania)wapole na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.