Kwa nini JK na wenzake ndani ya ccm wanahudhuria misiba ya wasanii tu? kwani wengine wanaokufa siyowatanzania? au wasanii ndio watu muhimu zaidi kwake na kwa ccm?
Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuhusu kuanza kuhojiwa kwa madaktari walioshiriki kwenye mgomo na hatimaye kusitishiwa usajili na walisema wanaanzia Mbeya. Naomba mwenye updates ya kilichojiri na kinachoendelea mpaka sasa atujuze.
Wiki iliyopita nilisoma kwenye gazeti la nipashe kuwa baraza la madaktari linaanza kuwahoji madaktari walioshiriki kwenye mgomo na baadaye kusitishiwa usajili na ilielezwa kuwa wanaanzia Mbeya.Naomba mwenye updates atufahamishe kilichoendelea au kinachoendelea hadi sasa.
Nawaunga mkono hao wapinzani wa Malawi, huyu mama nchi imemshinda kabisa. Anategemea fadhila za wazungu kwa kila kitu na asipobadilika atailetea nchin yake matatizo makubwa.
Lowasa ndiye pekee ndani ya ccm ambaye anaweza kutumainiwa kidogo na mwenye uwezo wa kusimamia kile anachoamini kama kiongozi(vision). Hakuna mwingine wa kulingana naye ndani ya ccm japo hataweza kushinda kwa CDM 2015.
Kwenda chuo kikuu muhimu sana ndugu, fanya bidii na we upate degree ili ufanye mambo yako kwa ufanisi zaidi. Wapo wengi waliopitia chuo kikuu na mambo yao yametulia sana.
Habari wana jf. Nimekuwa napata shida kumwelewa huyu anayeitwa sheikh ponda, hivi anawakilisha kundi gani la waislamu? Amekuwa akiendesha mapambano dhidi ya BAKWATA, SERIKALI NA SASA WAKRISTO, Yeye ni alqida, al shabab, boko haram au ni nani hasa?. Na kwa nini anaendesha harakati zake bila...
Hapo ililkuwa ni swala la kuthibitisha kile anachoamini kila mmoja wao. Aliyeshindwa kuthibitisha imani yake ni vema akabidili imani na kuungana na huyo mwenzake kwa sababu ukweli ameuona. Hakuna sababu ya kuleta hali ya sintofahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.