Huo Upumbavu wa "Paki gari kituoni" kesho tukuandikie risiti niligombana sana na Mapolisi wa Shinyanga.. Wakati mimi nasafiri kwenda mbali.
Hiyo ni namna nyingine ya kuiba pesa za Wananchi kwa kisingizio cha Faini..
Inakera sana!!!
Tembea na vipimio vyako, muda wowote ukipata mzigo mpya unaupima kwanza kujiridhisha walau...
Wataalamu wanasema hata kama mtu amekwaa Ukimwi lakini hauonekani kwenye vipimio before 3 months. Basi hauna nguvu ya kuambukiza.. Ila ule unaosoma ndiyo mbaya.
Mimi ni kijana mwanaume mwenye miaka 28, nahitaji msichana kwa ajili ya kufunga ndoa. Umri kati ya 20-28, awe mcha Mungu. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane PM.
Jamani kama kichwa cha habari kinavyojieleza ninahitaji kupata mtoto na nimeonelea nitafute mwanamke/mdada ambaye yuko tayari kwa hilo kisha tukubaliane terms & conditions.
Ningependa mhusika awe na sifa zifuatazo
1) Awe na shughuli halali inayomwingizia kipato
2) Dini yeyote, kabila lolote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.