Hakika sisiem kwa hapa R-chuga hawana chao yaani huo umati wa watu nilijikuta natokwa na machozi ya furaha pale. Kamanda lema aliposema hata akishindwa rufaa yake na uchaguzi ukarudiwa wao wakamsimamisha binadamu then sisi tukasimamisha pakiti la biscuits jimbo bado tutachukuwa.
Damu ya makamanda waliowaua huku wakiwa ktk harakati za ukombozi wa taifa lao kamwe haitawaacha magamba, na huo ni mwanzo tu tutasikia mengi kufikia 2012
Na bado watazomewa sana mwanzoni tulimwamini sana pinda tukiamini kweli ni mtoto wa mkulima kumbe alikuwa anatuzuga.uliona wapi waziri mkuu anashindwa kuwa na maamuzi yake binafsi badala yake kila kitu lazima akamuulize baba tabasamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.