natumai tuko wazima wana jf,,naombeni mnifumbue macho kwa hili kwa zile fakat ambazo hazina field mwaka wa 1&2 pesa za field kwa wale wenye mkopo zinaweza kutumika ktk mambo mengine mfano kureplace kweny ada,,,au zinakuwa vp hapa?
every thng hapen 4 a reson...juct talk to her in critical way as a head of da family yawezekana kuna sababu ilimpelekea kukuficha.....na je hizo biashara zinaingiza kiac gani kwa cku kama ni kipato cha kawaida hapo pana mashaka wap katoa mijihela yote hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.