Habari ya Jumapili wakuu...naulizia kama kuna member anaejua upatikanaji wa dhahabu kule msumbiji maana kuna mdau alinambia kuna watanzania wengi kule na pia kodi zao sio kubwa sana
Kwema wakuu najaribu kuapply visa ya Morroco nna safari mwezi huu wa nne najaribu na travisa sioni option ya Tz ni kwa US residence tu naona..Msaada wakuu
Wakuu kwema..nmekuwa na interest ya kuujua huu mchezo kama historia yake, kwanini uitwe Russian roulette na namna ya kubet maana kwa nlivouelewa kidogo ni lethal ...msaada kwa wenyewe kuujua kiundani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.