usikate tamaa haraka watu wengine tulisota tangu mwaka 2006 mpaka kupata kazi mwaka 2012 wewe mume wako juzi tu 2011 unaanza kusikitika, tulia msitake maendeleo ya haraka na asikae home tu azunguke kutafuta job na connection zingine. bado saaana akomaee na wewe wala usimlaumu wala kuona muda...
Dear Slab. nikisema laki tatu hiyo ni agency fee tu, tena ni negotiation inaweza kuwa hata lakini mbili, ila kuna gharama nyingine nyingi zaidi ya laki nane
Mkuu habari za kazi,
wachangiaji wengine wameshachangia mengi na mimi nataka kuchangia pale ambapo hapajajitosheleza,
ni vizuri ukanunua gari mwenyewe malipo unalipia bank na baada ya kufanya negotiation lakini kumbuka gari lako walifanyie inspection na wakupatie inspection certificate,
Pili...
kaka wewe ni kama mimi lakini unajua nilifanyajeeeeeeee? rudi kijijini kaweke mambo sawa kuna mambo hayajaa kaa vizuri kwako, sali sanaaaaaaaaaaaaa, na tengeneza mahusiano mazuri na mungu, Punguza chapa chapa. all the best God is greater
Mimi nilisota tangu mwaka 2006 mpaka 2013 ndio nikapata...
Hii kamata kamata ni kukurupuka, eti wamekamata alshabab porini wana visu 3, unga kilo 50 wako 11, wanatv, na mikanda ya kivita. mfuko uliochorwa nanga.
Swali? Kuna kosa gani hapo?
kupinga kambi porini lazima uwe na visu na chakula? kweli tv porini lazima uwe na solar, eti mfuko umechorwa nanga...
nimesikia baadhi ya waislam wanasema bora sheikh Ponda auwawe tu kwani ni mchochezi, cha kushangaza ni jinsi police wanavyotaka kumuua kibwege. Ila najua hachukui miezi mitatu watammaliza. siungi mkono mauaji ila nashauri police watumie mbinu nzuri za kuua sio kishamba tu, kwa mfano kama...
Wamepewa mamlaka kama ya police, wamechukuliwa tu mtaani na wengi ni wahuni na ni majizi, atadai yeye ni police jamii lakini nyuma ya pazia anaficha uovu, wamepewa ofisi pale karume, yaaani kituo cha police, lakini mambo wanayofanya ni wezi, wafiraji na majambazi.
Wanakumbambikiza kesi...
HABARI WANAJAMIIFORUM, SIKU HIZI KATIKA AJIRA ZINAZOTANGAZWA HUWA WANAWEKA KIGEZO CHA AGE LIMIT, MFANO NOT MORE 30YRS OR 35YRS. MIMI SIJUI NA NAPENDA KUJUZWA KIGEZO CHA AGE LIMIT KINASAIDIA NINI, KWA MFANO TRA WALITANGAZA KAZI KIGEZO MOJAWAPO ILIKUWA NI AGE LIMIT 30YRS, KAMA UNA VIGEZO VYOTE AGE...
wapendwa wazazi watarajiwa!
Mimi naitwa fulani bin fulani, ni mzaliwa wa pili katika familia ya Obama yenye jumla ya watoto watano, naomba kuzaliwa katika familia yenu kupitia kwa binti yenu mpendwa Pretta niliyefahamiana naye hapa Jamii forum na facebook. Naomba Kumposa Preta kufuatana na mila...
Kwa wale walioitwa kwenye interview university of dodoma waangalie majina yao tena kwani kunalist imetoka baadhi ya majina hayaonekani, majina yaliyotoka mwanzoni yalikuwepo lakini list ya majina ya pili hayapo,
kwa mfano nafasi za warden, mwazoni walichaguliwa watahiniwa 626 na jina langu...
chuki nyingine sio issue nafikiri una chuki na huyu bwana, kwani elimu ulionesha hukusema kama ana masters yoyote na mimi nilisoma naye masters. huna uhakika na history yake umesikia sana maneno ya watu
Mimi naweza kuwapa wanawake zaidi ya watano mimba kwa siku moja, je wewe unaweza kupata mimba za wanaume wawili kwa siku moja??????? Hiyo ni nature banaaa acha hizooooo
mwanaume wa ukweli hutumia dumeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na hanasii
Mkuu naomba nikujibu vizuri sana swali lako kwani mimi ni mtaalamu wa kodi na ndio tunafanya kazi za clearing and forwading, hata kama ukileta mzigo wowote bandarini lazima uwe na Agent wa kukutolea mzigo wako.
kwanza unatakiwa ujue bei ya gari based on CIF (cost, insurance and Freight)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.