jana katika viwanja vya posta kulikuwa na watu ambao hawajahi tokea katika siasa za hapa ngara! watu walikuwa wengi ni balaa na magamba kibao walirudisha kadi,kofia hadi vitambaa! hata ccm wenyewe jana walikili ngome yao imesambaratishwa rasmi.!
Safari yetu imekuwa ngumu na ndefu yenye vikwazo na mitego mingi sana! lakini nimengi tumeyapitia na kuyashinda. Kwa sasa IKULU Imeanza kuonekana wazi kwa CDM.Hakika safari hii ni ya ushindi japo wapo tulio wapoteza lakini malengo yatatimia! Niwakati wakuunganisha nguvu kuliko wakati mwingine...
Wanajamii nilikuwa kwenye mkutano wa mbunge wa CCM jimbo la Ngara uliofanyika katika kata ya Kabanga nakuhudhuriwa na wananchi wachache huku wengi wao wakiwa ni wazee!
Baada ya jitihada kubwa ya gari la matangazo lililozunguka jana jioni kujulisha ujio wake katika kata hii,ajabu nikuwa pale...
Kwa mjibu wakatiba kila mtanzania mwenye umri wa miaka 18 ana haki ya kupiga kura! sasa nec na serikali mfu wajidanganye kutoboresha daftari la mpiga kura waone moto wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.