Mkuu Bobuk kajifunze busara kidogo., -------- ni mtu anaejibu bila kufikiria/kufanya research.. the likes of you.
Nenda kaangalie vizuri mazingira ya ile penalty, Samaras aligongesha kwa makusudi mguu wake kwa beki wa Ivory coat kumhadaa refa., na refa kwa kukosa umakini/or any other reason...
Ivory coast ilipokua katika peak ilikua inapangwa katika makundi magumu sana world cup, the same happened to Ghana ambayo nayo imekuwa ikipangiwa makundi magumu sana tangia imekua katika peak., Angalia kilichotokea jana, controversial penalty imewatoa Ivory coast world cup
It seems like Fifa...
Serikali imesema imepata mafanikio makubwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu mpango wa Big Results Now uanze kutekelezwa,
Mafanikio hayo yamepatikana katika secta ya Elimu, Kilimo, Nishati na Uchukuzi
-------------------------------------------------------------------------------
Chanzo: Mwananchi...
Imekua ni tabia iliyojengeka kwa watanzania na hasa vijana kulilia mabadiliko nchini.. kisiasa, kiuchumi na kijamii., hii imedhihirika mtaani tunakoishi na hapa jamvini (JF). Lakini, je sisi tumebadilika? Nini ungekifanya kama leo ungepewa uongozi?
Kumbuka yale tunayofanya kila siku at an...
Imekua ni tabia iliyojengeka kwa watanzania na hasa vijana kulilia mabadiliko nchini.. kisiasa, kiuchumi na kijamii., hii imedhihirika mtaani tunakoishi na hapa jamvini (JF). Lakini, je sisi tumebadilika? Nini ungekifanya kama leo ungepewa uongozi?
Kumbuka yale tunayofanya kila siku at an...
I appreciate every good things Kikwete has done for this beautiful country, the desire for change I see in him including the New Katiba movement. But kulinda maslahi ya chama ndio kunakomuangusha most of the times
Kwako muheshimiwa rais, viongozi wahusika na wanajamvi kwa ujumla
Ni hivi karibuni nilienda kumtembelea bibi aishie huko Itulavanu kilomita 9 hivi kutoka mji wa mafinga.. Nikiwa huko niliweza kwenda mpaka Mtili, Ifupira, Brook bond, Sawala, Mdabulo mpaka kibao
Hali ya barabara niliyoikuta huko...
The guy has a point Kwameh, kama rasimu ya katiba ilimaanisha 'human traficking' wangesema 'biashara ya ulanguzi wa binadamu' na ku-define neno 'ulanguzi' . Otherwise kwameh is right
Imekua ni tabia iliyojengeka kwa watanzania na hasa vijana kulilia mabadiliko nchini.. hasa kisiasa, kiuchumi na kijamii., hii imedhihirika mtaani na hapa jamvini (JF)
Kumbuka yale tunayofanya kila siku at an individual level ndio yanayoifanya/yatakayoifanya Tanzania ya kesho. Kesho wewe ndio...
But kuna wanaojielewa kaka, kama vipaji vipo., kwa mfano samatta, ngassa enzi zake na wengine wengi.. lazima kuna kitu extra kinachokosewa hapa na ndicho kinachotucost hata timu ya taifa, ni kitu gani hicho?
Kwa heshima na taadhima, salamu zangu nawapa..
naomba nikaribishwe kwa nderemo na vifijo.........
bepaaariiiii.......................... bepari mzalendo ndio jina langu!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.