Wakubwa habari zenu na wadogo natumai wote hamjambo..mie ni bint wa miaka 24 na pia ningali mwanafunz wa chuo kikuu...nadhan imefka age ya mimi kua na familia ya kuitazama na kuihudumia kama mke na kama mama kwa ujumla...nahtaj mwenza wa kutulia nae kmaisha ambae atakua tayar pendo kulipokea...
..habari wanajf,,kuna mume wa mtu mwenye watoto wawili amening'ang'ania kama ruba anataka nimzalie mtoto japo mmoja kwa madai ya kua mkewe kamjibu hana muda wa kuzaa anamuda na biashara zake maana wanaishi nyumba moja lakn kila mtu na chumba chake kwa miaka 5 sasa na hawez kumpa talaka mana wao...
Na inakuaje mtu akifanya mapenz wengne wanapitsha cku zao yan badala ya kupata hedh tareh 24 unaaenda mpaka tarehe 7 mwez mwingne na asiposex mzunguko unakua kawaida bla kubadilika
Acha ujinga..ukimuendeka mama na ndugu hakika ndoa yako haitofka mbali hata kdogo,.shukuru mungu amekuambia live kuliko angetoka nje bla kujua..okey utamwacha mkeo halaf ukaoa mambo yakawa ayoayo inamana utaacha tena au..?..mwanaume kamil hatoi adhab hzo wewe
...ebu achana na uyo mwanamke atakuharbia ndoa yako,kwanza hana adabu atahadithiaje mambo yake kwako..,?..Mrudishie vcd yake tena kwa dharau umwambie aliitizama mkeo mana yeye ndo kila k2..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.