Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 47!Natafuta mwanamke mwenye maambukizi ya virus vya UKIMWI ili awe mke wangu na tuishi maisha ya matumaini sina vigezo vingine na sina ubaguzi wowote wa umri, dini rangi na kadhalika.
Tuwasiliane kwa email adres ifuatayo mbilimbi4@gmail.com
KARIBU SANA...
Natafuta mke mwenye maumbukizi ya UKIMWI awe mtu mzima angalau awe na umri kuanzia miaka 40 na kuendelea mimi pia mtu mzima!mawasiliano ni sekenemboh@gmail.com au PM
Wakati Serikali ya CCM ikiamini hakuna mwanafunzi wa shule zake atakaefukuzwa shule kwa kukosa,Leo tarehe 14/09/2015 walimu wa shule ya Sekondary Kibamba wanapingana na Serikali ya CCM kwa kuwafukuza shule wanafunzi na kuwatandika viboko.
Inasemekana walimu wote waliokuwepo Staff room kila...
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa anaefanyia kazi yeye,Baada ya kufunga nae ndoa ya KISERIKALI,mm nililudi ktk mkoa ninaoishi na kumuacha...
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa anaefanyia kazi yeye,Baada ya kufunga nae ndoa ya KISERIKALI,mm nililudi ktk mkoa ninaoishi na kumuacha...
Naomba ushauri wana jamii,mimi nimeoa mke miezi 7 iliyopita,ndoa ya kiserikali.Mimi na mke wangu tunaishi mikoa tofauti kutokana na mazingira ya kikazi,ndoa nilikwenda kufunga nae ktk mkoa anaefanyia kazi yeye,Baada ya kufunga nae ndoa ya KISERIKALI,mm nililudi ktk mkoa ninaoishi na kumuacha...
Nina miaka 44 natafuta mwanamke wa kuwa mwenza wa maisha na awe tayari kuanzisha familia awe na umri wa kuanzia miaka 40,aliyetayari Pm au tuwasiliane kwa email adres ifuatayo kachelenga@ovi.com
Habari zenu wana jamii,mimi ni mwanaume nina umri wa miaka 43,natafuta marafiki wa kawaida wa jinsia zote yaani wanaume na wanawake wawe na umri wa kuanzia miaka 35 na kuendelea,wawe wanaishi au wapo ktk mkoa wa wa MWANZA.Namba yangu ni 0756 870 381,KARIBUNI MARAFIKI.
Muda mrefu sasa natafuta MKE hapa lakini bila mafanikio,naomba mnisaidie ndg zangu kama kuna mahali pengine naweza kupata mke naomba mnielekeze huko labda nitabaatika kupata mke huko.
Natafuta mwanamke ambaye atakuwa tayari kuingia ktk maisha ya ndoa,awe na umri wa kuanzia miaka 40 na kuendelea,mm nina miaka 43,awe mkweli na muwaza na awe mwanamke anaeitaji mume wa maisha.
MIMI NI MWANAUME MWENYE UMRI WA MIAKA 42,NAJITOKEZA HAPA KWA WANA JAMII,NATAFUTA KAZI YOYOTE ILE YA KUFANYA,PIA NAPATIKANA KWA EMAIL ADRES IFUATAYO, kachelenga@ovi.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.