Habarini wakuu, kuna yoyote anaweza nifafanulia tiba ya tatizo tajwa apo juu? korodani zangu pamoja na uume vimeshrink sana, hii pengine ilisababishwa na punyeto niliyokua napiga kipindi icho. kiukweli now nimeacha na ngependa kujua how to recover!
Jamaa mgeni kabisa kaajiriwa kwenye
kampuni;
SUPAVAIZA: Mheshimiwa unaitwa nani?
JAMAA: Naitwa John.
SUPAVAIZA: John nani? Unajua jambo ambalo
nimeligundua ni kuwa watu mkianza kuitana
majina ya kwanza mnazoeana na kazi
inakuwa haiendi. Mi sio rafiki yako mi ni
Supavaiza wako, kwa hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.