Search results

  1. N

    CHADEMA MJITAHIDI KUJIZUIA KUWASEMA VIBAYA WANAOKIHAMA CHAMA CHENU

    Kwa sababu kuna faida nyingi kuwa na subira kuheshimu maamuzi binafsi ya watu. Hiki ndicho kupindi kugumu kabisa kuwahi kutokea kwa opposition na si watu wote wana ngozi ngumu sawa na wengine kuhimili masaibu hayo. Wengine wanafuta easy way ya usalama binafsi, familia zao na mali zao. Ni hayo...
  2. N

    Obama akiongelea 'Separation of Power' kwenye nchi

    You want people to say what you want to hear, You hate critical thinkers. Those to doing otherwise you lock them up, ban press (No Freedom of Expression) People live in terror NOT peace. No thinking, no creativity AT THE END CRIPPLED ECONOMY
  3. N

    Kwa waliokwazwa na hili za ZZK et al.

    Mnnaumia kwa sababu ya: kukipenda CHADEMA na mngependa kizidi kuimarika? nampenda Zitto binafsi? mngependa Chama hiki kife ....? Kama unakitakia mema chama soma vizuri taarifa a cc kuhusu ule waraka (usije na kisingizio kuwa umepikwa.....upo na Kitila alikiri kuwa ni mipango yao hiyo ya...
  4. N

    Waziri Muhongo na dharau kwa wawekezaji wazalendo

    Waziri wa nishati na madini wa Tanzania anekunuliwa akisema kuwa uwezo wa Watanzania kuwekeza unaishia kwenye juisi na matunda. Alisema hayo alipoombwa na Taasisi ya sekta binafsi Tanzania asitishe zoezi la kutoa vitalu vya gesi asilia kwa wageni hadi sera ya gesi na mafuta iwe tayari ili...
  5. N

    Kinyume cha Ukakamavu ni Ugoigoi

    Maisha ya jamii kuanzia mtu binafsi yanahitaji mtaji wa afya kiakili, kiroho/kifikra na kimwili. Huwezi kudeliver 100% kama mwili wako ni goigoi. Hata kwenye michezo kuna kitu kinaitwa 'physic' yaani stamina ambalo ni tatizo kwa timu yetu ya taifa tunapokutana na mataifa mengine. Ikija kwenye...
  6. N

    China on Tanzania connect the dots....

    Miezi michache iliyopita ujumbe wa China ulikuwa hapa nchini na kusaini mikataba ya kibiashara takribani 16 ikiwamo ya gesi na mafuta, madini, ujenzi wa bandari nk. Lakini hakuna anayejua nini kilichoko kwenye mikataba hiyo zaidi ya wateule/wabarikiwa wachache. Hata wabunge hawajui na hata...
  7. N

    When it comes to ULINZI wa nchi HAKUNA U-CCM au U-CHADEMA viva Bunge!

    Kwa mara ya kwanza katika bunge la 11 leo nimeshuhudia wabunge wote wameonesha kukumbuka kuwa wote ni Watanzania no matter what! Leo ni bajeti ya wizara ya Ulinzi na JKT. Ni leo tu katika mkutano wa 11 nimeona mawaziri wa serikali wa CCM wanapongeza na kukubali hoja na ushauri wa Challege...
  8. N

    Mpya: Matokeo ya uchaguzi kata ya Mlangali Ludewa.

    CDM imeshinda.
Back
Top Bottom