wakuu leo kule mlangali (ludewa)mawasiliano c shwari lakini cdm wamepeta na kuwagalagaza ccm kwa kura zaidi ya 288.nita wa juza zaidi,cdm oyeeeeeeeeeee
Arusha daraja mbili tumeshinda,idadi ya kura sio ya uhakika ila tumewapiga kwa kura zaidi ya mia nane.nipo mwanza alakini hizi habari ni za uhakika.kule kwa dogo janja mambo ni magumu kata ya bangata hali yetu ni mbaya alakini ngoja tusikilizie mpaka mwisho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.