Dokta MABAO6. Kwanza nakupongeza kwa mada yako nzuri na ya maana sana. Wengi tunaumwa ila hatusemi. Unakumbuka wakati wa babu wa Loliondo? Hapo ndipo tulipojua waTanzania walio wengi ni wagonjwa na wamekuwa wakikosa tiba sahihi ili wapone. Nirudi kwenye mada, nauliza tena swali la mwanaJF Doricy...
Wana JF nimefuatilia mjadala huu. Zipo hoja tanzu zinazaliwa ndani ya mjadala, mfano wengine wanauliza mazingira ya kifo cha aliyekuwa waziri mkuu miaka ya 80 hayati Sokoine na wengine utata wa kifo cha hayati Horace Kolimba. Na hii sasa inakaaje......hebu sikia, kuna mhubiri mmoja wa madhehebu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.