wadada nanyi mmezidi kuturusha roho na hivyo vivazi vxenu. Yaani ukitoka job mpaka unafika home tayari umesha kwisha kabsaaa! Halaf ukifika home wife nae hana time na wewe, sa ikizidi kwann usitafute faraja kwa kificho, sema noma ukigundulika ndo mambo yanaharibika mbaya mazee.
We mganga wako nani?????????? Acha Uzushi usio na ushahidi nao!!!
Bila shaka we ni mdini wa kutosha!!!! Na ule waraka uliorushwa humu huenda una chembe ya ukweli!!!!
When musicians became leaders of this nations, we will all be part of it! All singing and dancing.
There are currently 187 users browsing this thread. (74 members and 114 guests) all are Musicians except me! ha ha ha haa
Matusi hayatakusaidia kitu, mtoto wa miaka 14 kufanya kitendo alichokifanya katika mazingira yoyote ni ukosefu wa adabu wa imani za watu wengine. Mtoto wa umri huu keshapata mafunzo ya kutosha kutoka kwa viongozi wa kidini na huenda alichokifanya ni matokeo ya mafundisho ya watu wa aina yako.
Na wale wanaopita majumbani kwa watu wakihubiri wanamsaidia nani? mbona nae asijisaidie mwenyewe kuhubiri imani yake. Sio hoja hii
Ukweli ni kwamba kitendo kilichofanywa na huyo kijana si cha kiungwana, lakini pia waislamu hawakupaswa kuchukua maamuzi ya kukurupuka kihivyo. Walipaswa kufanya...
Viongozi wachafu na waroho wa madaraka tunawatema kutoka ccm na wengi wamehamia upinzani, hicho ndio kifo chenu wapinzani hususani cdm. Hongera sana kwa kutupokea hiyo mizigoz
Hebu tuangalie orodha ya wanaodaiwa kuwa mafisadi:-
1. mkat....
2. mmo.....
3. .....................
4. ................
Sa maadili yako wapi hapa???????????????
SI HASA NA DINI HIYOOOOOOOOO!!!
Cd hiyo haisambazwi kwa lengo la kuongeza pato la cdm, au kusaidia familia ya marehemu Mwangosi, lengo kuu la usambazaji wa hizo cd ni kueneza/kupandikiza chuki miongoni mwa watanzania.
Serikali ambayo mimi naiona dhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua kali watu wanaohatarisha kupotea kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.