Sitta ni mwanasiasa mzuri sana, ambaye kwa level ya watanzania wengi wetu tunaingia kwenye mtego wake kwa kuamini kuwa anaonewa/anawindwa na the so called mafisadi, what is doing is just trying to pre-empty tuhuma endapo zikielekezwa kwake watu waone si za kweli, lakini jiulizeni au waulizeni...
Anna Mkapa...
kwanza aliletwa ambaye baadaye kawa mke wa Ballali...Muganda, huyu alikuja km economic advisor wa mkapa....kama haitoshi ndo akaletwa Ballali......
CIF VALUE X CURRENT XRATE
X 25% IMPORT DUTY
X 20% VAT..
Hiyo ndo standard kama gari YOM si not older than ten years and cubic capacity has not exceed 1000..if so, then the computation has to be like this:
CIF X XRATE
X 25% IMPORT DUTY
X 5% ECISE DUTY IF CC >1500 BUT NOT EXCEEDING 2500
X...
it cms u dont know the guy very well...or either u were part of the evil stuff was doing..siamini m2 anaweza kujitokeza hapa na kuanza kumtetea eti anaonewa..even US ambassador anajua hw dirty the guy is...sitashangaa kesho ukijitokeza nakusema Rostam, Lowassa n Mkapa their clean as well...sorry...
kaka sababu zako nyepesi sana..cant hold water...vp kuhusu Mhonga Ruhanywa??..vigezo gani vilitumika kwake...mtu kama ana mapenzi na chama chake unapochangia/kukopesha chama huwezi ukaanza kutoa masharti ya ndugu yako lazima apendelewe hata kama hana uwezo, haya ndo mambo anayofanya RA halafu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.