Leo,viongozi na wanachadema wafanya kikao cha kujadili maendeleo ya chama na jinsi ya kupambana na ufisadi mkuu katika taifa letu.Lakini pia katika kikao kilichofanywa na wanachama hao,WAUNGA MKONO MAAMUZI YA KAMATI KUU CHADEMA KWA MHE. ZITTO KABWE NA DR. KITILA MKUMBO.
Huu msemo unatumiwa sana MUCE,wakuu wa MUCE hasa watalaamu wa kiswahili,tutafutieni msemo mzuri ambao nikiutamka hautafikirika kwa fikira tata,binafsi haka kamsemo sikapendi.....
Vitendo vya uhalifu nchini vinazidi kuongezeka sana.Na hii ni kwasababu vijana tunaowapatia mafunzo ya kijeshi,serikali haioneshi nia ya kuwaajili na wanaporudi mitaani wanapata vishawishi vingi ambavyo huwafanya watumie mafunzo waliyonayo kufanya uhalifu.HIVYOBASI,SERIKALI ITENGENEZE UTARATIBU...
Inakera sana kusoma post za viongozi wetu ambazo hazina maana mitandaoni.Tambueni kwamba mitandaoni mnako-post upuuzi,wananchi mnaotuongoza tunasoma na kutafakari.Kwanini dhana ya uadilifu mnaipoteza?.Pia siasa ya BONGO kutawaliwa na matusi majukwaani na kuacha kuwaeleza mambo ya msingi...
Nasikitishwa na ahadi zitolewazo na viongozi wetu kipindi cha kampeni,pia hata viongozi wa kuteuliwa kwani utendaji wao si sawia na ahadi wazitoazo kwa wawateuao na wananchi.Suala la wakulima na wafugaji,kwanini serikali hailitendei kazi ipasavyo!.Maafsa wa maliasili kuua ng'ombe kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.