Kujua Tatizo ni mwanzo mzuri wa kupambana nalo,Foleni husababishwa na nini iwe ndiyo hatua ya kwanza katika utatuzi wake.
Kuna sababu nyingi sana zinazo sababisha foleni,kubwa ni uendeshaji mbaya wa madereva wenyewe,nyingine ni matumizi mabaya ya alama za barabarani,nyingine ni miundominu...
My God !!! Sasa naamin kuwa hii kesi ni Movie ya polisi,Huyu Edmund Kapama ni Polisi informer,kwa maana hiyo amewekwa kama ni mmoja wa wachezaji kwenye hii movie ili wamkomoe kijana JM.
This is pure mafian,Shame on our policemen
Tuwaombee wapone ugonjwa unaowakabili wasomi wengi wa kiafrika,Wanajua kukopi sawa inapofika kupaste madudu,Ndullu ni prof.mtanzania Mwafrika,hata kama amezaliwa kwenye fanilia tajira kiasi gani hawezi kukwepa ukweli wa wale waliokuwa wanamzunguka wakati anakuwa kwenye utajiri wa familia...
Hii nini ? wivu au ? sijaona nini cha kustahili kuitwa unafika kwenye waraka wenye hoja murua kama wa Shigongo kwa watu wote kwa ujumla na orijino komedi kipekee,ni vema kama una hoja na Shingongo itoe tuione kuliko kupinga nata kizuri ilimradi kimetolewa na Shigongo.
Ni vema kuwasaidia hawa...
Mkuu mwanakijiji naomba nikupe pongezi zangu kwa hoja zako nyingi ambazo nikizisoma sincerely naelewa namna ulivyo na dhamira njema na uzalendo kwa nchi yako,naamini sauti yako haitapoketea bure, Swala la ufisadi wa wazungu ni wazi ni mafisadi wakubwa sana, ila wametuzidi kitu kimoja,wazungu...
Kupiga vita ofisadi kunategemea sana dhamira ya waTZ na si uwezo wa mafisadi na mtandao wao.Ufisadi unaweza shindwa na kuondolewa kabisa ili mradi watu waoga kama GT either wanyamaze kimya au wanyamazishwe then waTZ wenye uchungu na rasirimali za taifa hili wapaze sauti zao,haihitaji bomu wala...
fanya jaribio kwa family member wako kama ifuatavyo.nunua kopo la dawa ya mbu peleka nyumbani halafu fuatilia matumizi yake,baada ya hapo muulize mtumiaji namna ya kutumia na amejuaje...?utashangaa na maandishi yote yaliyozunguka kopo la dawa hajawahi kuyasoma wala haoni sababu ya kuyasoma. pili...
Hongera sana Mchungaji kwa ujumbe mzito kwa watanzania binafsi na waafrika wote kwa ujumla,ni ujumbe mzito sana na wa maana sana kwa kizazi hiki tatizo kubwa kwa watanzania tulio wengi ni uvivu wa kufikiri na kutafakari hata mambo yaliyo muhimu si kwa taifa na jamii bali hata kwa mtu...
Demotion ilitokana na piece ya balozi wa Palestina,labada tungeangalia article ya hyo balozi inazungumzia nini ndiyo tuone wapi Mzee Mengi alipotoka,otherwise kumlaumu Mzee mengi kama ana ties na Israel kwenye biashara zake huku gazeti lake likiandika makala zinazohatarisha mustabali wa Israel...
Mjadala utakuwa ni mgumu kwa kuwa mashoga wana dhamira ya kushinda na wapingaji vivyo hivyo,kwanini watatetezi wa mashoga wanaegmia sana kwenye haki za binanadamu kana kwamba haki ni kwenye ushoga tuu,Mbona hakuna uhuru wa kunywa gongo wakati inamdhulu mtumiaji anayetumia kwa mapenzi yake, Mko...
Bado hata wahalifu wakikamatwa kwenye tukio 'INNOCENT TILL PROVEN GUILTY' Justice itakuja tengamaa mpaka pale kuna wale ambao sheria itawaona kama ni 'GUILTY TILL PROVEN INNOCENT' Ingawa nafikiri kwa kiasi fulani trafic offence madereva ni Guilty till proven innocent,kwani haijarishi mazingira...
Naomba tafsiri ya kujichukulia sheria mkononi,Sababu mtenda kosa anafanya kinyume na sheria, akitendewa kinyume na sheria inaibuka hoja ya kujichukulia sheria mkononi. Kwangu kichina naomba msaada nieleweshwe...
Hapa ndipo tatizo la kujadili na waislam lililpo,anasema shinikizo la misamaha ya kodi NGOs na mashirika ya Dini kana kwamba NGOs zote na mashirika ya dini ni ya kikristo peke yake,kwa makusidi anajiaminisha kwamba kwa kuwa maaskofu ndiyo walitolea macho serikali katika kuanza kuwatoza kodi...
Nikumbana na mjadala huu hata nje ya JF,hata na waislam wenye uwezo mzuri wa elimu,lakini nimegundua uislam unawanyima waumini wao uwezo wa kujadiri maswala yahusuyo dini yao kwa uhuru,matokeo ni kutoa hoja zingine zinatia hata kichefuchefu na unagundua kabisa mtoaji si kwa kuwa anapenda bali...
Ndugu yangu tafakari,mbona balozi za jamhuri za kiislam zipo pia ...sioni uhusiano wa balozi wa vatican unaohudumiwa na vatican Kulinganishwa na mahakama ya kiislam itayohudumiwa na serikali...Tatizo kubwa penye mapenzi uwezo wa kufikiri hufishwa watu hufikiri zaini kwa moyo kuliko vichwa vyao.
Mahakama ya kadhi itakuwa kwa manufaa ya waislam peke yao, kuanzia ajira kwenye vitengo vyake zitakuwa ni za 'kibaguzi' sababu itatakiwa mwajiriwa awe muislam,mahakama hiyo itagharamiwa na kodi ya watanzania wote bila kujali dini yake. hilo linatosha kabisa kwa mwenye kufikiri ajue kwamba kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.