Vijana naona wataanza kuikwepa fani ya civil engineering. Kila kiongozi ni mtaalamu wa ujenzi. Poleni wale mlokwisha tumbukia. Nawaonea huruma mainjinia huko kwenye halmashauri. Kama injinia hajaguswa ujue wilaya haina mradi wa ujenzi. Wale mainjinia wa maji waliponea chupuchupu baada ya kuhamia...
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong."
"If you do not know how to manage your game, you pay the price," Amunike said. "There were a lot of crazy things going on and we committed a lot of mistakes. Our positioning was wrong, our marking was wrong." Amunike
Inaweza kuwa ni miaka 15 hukumu 10 concurrent. Na pia usisahau formula ya gereza mfungwa akiingia wanapunguza one third labda akifanya kosa gerezani huwa zinarudishwa kidogo kidogo
Niliwahi kuwaokoa hawa watoto wakati wanashambuliwa na mbwa. Walikuwa wanatoka shukeni. Ni pale Muhutwe wilaya ya Muleba. Kwa sasa wanaendelea vizuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Emirates A380 in numbers|
Painting the world's biggest passenger plane
6,000 Hours it took to paint the aircraft during its latest paint job in 2016.
3,076 Area of the plane in square metres that is covered in paint.
1,100 Kilograms of paint used over seven coats.
34 People required to...
Tukio ni la kweli lakini simulizi ni uongo. Ukweli ni kwamba waligongana njia panda ya Maruku kama km 10 kutoka Bukoba stendi au km 5 kutoka njia panda inayoelekea kwa marehemu Ruge. Inaonekana kayika kuovatekiana, dereva wa Darlux alirudi mapema kabla ya kujipa distance ya kutosha wakati pia...
Nyumba hasa za vijijini ni fahari ya macho. Wenye nyumba yao wakiondoka/kufa hazina thamani tena. Nyumba ni mjini inakuwa ni asset. Inaweza kuuzwa au kupangishwa even in the absence of the owner lakini kwa kijijini watakaa walimu au mtendaji bure ili kuipasha. Its high time watanzania tufikirie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.