Search results

  1. D

    Tunnel guru internet sharing solution...

    Hapo tumekusoma Mdau Adolf
  2. D

    Namna ya kutoa "write protected" kwenye flash drive

    thanx for ur concern still sijafanikiwa @ Mzizi mkavu
  3. D

    msaada wa kucrack m/s office 2013

    tafuta software moja hv iko pouwa sana na inafanya vizur inaitwa "KMSpico4.5"
  4. D

    Namna ya kutoa "write protected" kwenye flash drive

    Mzizi mkavu, nimefuata all steps lakini sijafanikiwa mkuu,labda tuwasubiri wadau wapitie
  5. D

    Namna ya kutoa "write protected" kwenye flash drive

    Habar wanaJF..! msaada namna ya kutoa write protection kwenye flash
  6. D

    Msaada TBC kwenye DStv.

    Habari wakuu...! Sorry wakuu,kuna shida upande wangu sasa sijajua kama ni kwangu tu au laah.. TBC kwenye DStv haitoi sauti ila channel nyengine zote zinasauti kama kawaida,its almost two weeks now, msaada wenu wakuu. Thanx :yo:
  7. D

    Hdd masaada

    mkuu ingia kwenye cmd promp then type the following command mkuu. kwanza select HDD letter yako kama ni D: or E: or any letter of your drive xo F: enter then type attrib -s -h /s /d *.* then enter note kwenye space weka space then enjoy:becky::becky::becky::becky::becky: libale kushney
  8. D

    Laptop yangu ina matatizo ya position ya cursor

    mkuu jaribu kubadili adaptor yako,coz mara nyingi hilo tatizo huwa linasababishwa na kuzidi kwa umeme kwenye pc coz kila adaptor ina voltage zake ambazo pc need ko ikizidi huwa inatokea hivyo cursor haitulii na inaboa kweli,nilisolve kupitia hv jaribu inaweza ikafanya kazi
  9. D

    Tatizo la Rolling Back kwenye Vodafone Moderm.

    mkuu mara nyingi kama ni tatizo la rolling back action huwa linasababishwa na viruses kwenye PC,fanya clean boot alafu install drivers na kila kitu hakikisha upo safe kama unatumia flash then install moderm if hilo ndo tatizo
  10. D

    Nipeni mawazo kwa site hii (forum)

    nyc mkuu,keep it up...... fanya kuorganize some expert na kuwa up to date na new releases kama JF
  11. D

    naombeni msaada wa dell inagoma kuwaka

    mkuu jaribu njia hizi 1.Chomoa machine kutoka kwenye source ya power then iwashe machine huku umeshikilia power button kama 3times kwa mda (dk 3)hv ili kuwith-draw excess power,kwasababu hilo tatizo maranyingine linasababishwa na excess power. 2.Ifungue machine halafu toa RAM piga blower...
  12. D

    MSAADA WAKUU NAMNA YA KU_UNLOCK INTERNAL SATA harddrive

    Habar wana JF, nina Harddisk yangu ya 320GB SATA ya my pc toshiba Mseries iko locked,nilikuwa najaribu ku lock kwenye BIOS set up ko nimesahau password,nahisi nazichanganya, najaribu inagoma,xor wakuu...naomba msaada wenu namna ya ku-UNLOCK harddisk hiyo. thanx
Back
Top Bottom