Wana jf nasikitika kusema kuwa vinywaji nivipendavyo bia aina ya serengeti ya chupa ndogo na soda ya mountain dew kutoka pepsi (sbs). Hazipatikani tena, nimejitaidi kuzitafuta mbeya, dar na moshi hamna kabisa, na ukiuliza napewa tetesi eti hazi zalishwi tena kisa serengeti chupa ndogo inauwa...
Jana nilikuwa na angalia kipindi cha KIPIMA JOTO kinachorushwa na ITV kila Ijumaa, nilishangaa kusikia kutoka kwa mwakilishi Wa tasisi moja ya Serikali inayoshughulika na maswala ya mafuta akisema bila haibu ETI TIPA YA KIGAMBONI iliyokuwa inasafisha mafuta ya PETROLI ilikufa yenyewe kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.