Search results

  1. josephangetile

    JIPATIE KIPATO KWA KUTUMIA SIMU YAKO AU COMPUTER YAKO

    CRYPTODIAMOND. ni kampun ya kimarekani inayomilikiwa na Julie H. Anderson yeye ndiye Owner & Founder, CryptoDiamond.Tech Ltd. pia inamiliki COIN yake yake ya CDT COIN ( Invest in your future: CryptoDiamondTech Coin will be a close-ended Erc-20 token which will be created to serve the needs of...
  2. josephangetile

    Kiwanja kinauzwa

    kiwanja kinauzwa vipimo vyaki ni hivi magharibi mita 77 mashariki mita 89 kaskazini mita 62 kusini mita 8 na nivizuri ukienda kukiona mwenyewe ili ujilizishe!! Email Address: josephangetile@yahoo.comArea: Dar Es Salaam - kipo dar es salaam, kongowe - kilungule. kwa namba yangu ya simu naomba...
  3. josephangetile

    Kiwanja kinauzwa

    kiwanja kinauzwa kipo kongowe - kilungule bei ni nafuu sana. VIPIMO VYAKE NI HIVI HAPA:- MASHARIKI - futi 89 MAGHARIBI - futi 77 KASKAZINI - futi 62 KUSINI -futi 8 NI KIKUBWA SANA KWA MAWASILIANO NAOMBA UNITUMIE PRIVATE MESEJI ZENI NITAKUPA CONTACT ZANGU ZOTE ZA SIMU AU TUMIA EMAIL HII HAPA...
  4. josephangetile

    Ajira za ualimu mwaka 2013/2014

    aisee naombeni kuuliza kunatetesi zimeenea mtaani eti kwa mwaka huu ajira za ualimu zinatoka mwezi huu january na tena wiki hii kuanzia tarehe 19 mwezi huu, je kuna ukweli juu ya hili suala? wale wa kukatisha watu tamaa, kukosoa au kuumiza watu kwa majibu ya hovyo tafadhali ka hujui...
  5. josephangetile

    TunnelGuru kwa kutumia modem ya ZANTEL

    msaada wakuu mimi natumia modem ya CDMA na ninahitaji kutumia TunnelGuru na hii modem yangu, tafadhal anayeweza naomba anisaidie jinsi ya kuiconfigure(kuiseti) ili niweze kuitumia kwa sababu nimependa huduma zao na naitaji kuanza kuitumia. natanguliza shukrani zangu za dhati kwa atayenisaidia!!!
  6. josephangetile

    Job opportunities

    TEMBELEA UKURASA WETU WA FACEBOOK KUJIPATIA NAFASI MBALIMBALI ZA KAZI:- BOFYA HAPA >>>>>>>>>>>>>>>>JOB OPPORTUNITIES<<<<<<<<<<<<<<<<<<<<
  7. josephangetile

    Kuitwa kwenye usaili polisi

    Jamani naomba msaada wenu hivi usaili wa polisi kwa form 4 na 6 haujaisha bado? na wa graduate kutoka chuo unaanza lini? coz mara ya mwisho wadau walisema tarehe 3 mwezi huu lazima graduate kutoka vyuoni waitwe mbona kimya? mwenye taarifa naombeni anijuze tafadhali?
  8. josephangetile

    Nafasi za jeshi la polisi kwa graduate kutoka chuo

    Tulipokuwa chuo tulijaza form za kuomba jeshi la polisi lakini mpaka sasa mbona kimya hatuoni majibu ya kuitwa kwenye interview ila tunaona majina ya form 4 na form 6 tu. mwenye taarifa kuhusiana na hilo naoma anijuze?
Back
Top Bottom