Search results

  1. P

    Ama kweli majuto ni mjukuu..

    Bila nidhamu ya pesa kwenye haya maisha,lazima kuna siku lazima utakuja kujutia. Hiyo ndo hali niliyonayo saivi Vijana wenzangu hasa ambao bado hatujawa na source ya kudumu ya kupata kipato,tuheshimu sana hela. Nakosa hata hela ya kula kweli!,majuto kweli ni mjukuu.
  2. P

    Naomba msamaria mwema aweze kunisaidia

    Poleni na majukumu wakubwa. Ngoja niende straight foward kwenye lengo la kufungua huu uzi. Naomba kwa yeyote mwenye uwezo wa kuweza kunikopesha 350K,anisaidie,nitaacha cheti changu original cha form IV,kwa sababu sina dhamana ya kubwa zaidi ya hii,na nitailipa hii fedha kuanzia mwezi wa nne...
  3. P

    Kijana wenu hapa naomba ushauri.Nifanye nini?

    Poleni na majukumu wanabodi. Naomba kushauriwa nifanye nini kwenye hii situation inayonikabili ili niweze kurudi kwenye mstari. Mimi ni kijana ninayesoma chuo,n a nilibahatika kupata mkopo,ijapokuwa kwenye ada naongeza kiasi fulani cha fedha.Mwaka jana nilijiingiza kwenye biashara hizi za...
Back
Top Bottom