Search results

  1. kdom

    Shule nzuri ya private advance Tabora au mwanza.

    N vepe jf?Naulizia shule nzuri ya private kwa advance masomo ya sayansi specifically PCM kwa mikoa ya mwanza na tabora. Nina vijana kama watatu hivi.
  2. kdom

    Kwanini wanawake wengi hawaolewi siku hizi?

    KWA NINI WANAWAKE WENGI SIKU HIZI HAWAOLEWI? Kwa sababu WENGI HUPISHANA NA WAUME ZAO Kwa mfano : 1.Mwanamke anapigiwa simu kwa namba ngeni, anauliza namba yangu umeitoa wapi? Usiponiambia aliyekupa usinipigie. HAPO UMEPISHANA NA MUME 2.Mwanamke anaingia ndani ya daladala, amekaa na mwanaume...
  3. kdom

    Naomba kueleweshwa.

    Sorry wana jF, naomba msaada kwa anayejua je kuna possibility ya mtu mwenye diploma ya ualimu mwenye masomo ya kufundishia ya hesabu na chemistry kwenda kusoma degree Ya engineering kama civil au mechanics kwa kutumia matokeo ya diploma hayo?? Asante
  4. kdom

    Natafuta dawa ya kienyeji inayoweza kutibu cancer.

    Salaam wana Jf, kama nlivoeleza hapo juu yoyote anaejua dawa ya cancer anichek maana mama angu mzazi anasumbuliwa na cancer ya titi na ametumia dawa nyingi za hospital lakini sioni dalili ya yeye kupona so naombeni msaada kwa wenye dawa au kwa yoyote anae mjua mtu ambaye anaweza kuwa na dawa...
  5. kdom

    Naelekea kuamini sasa kuwa ajira hazipo kabisa

    Jamani naelekea kuamini sasa kuwa ajira hazipo kabisa na kwa mtu ambaye hafanyi kazi ati anasubiri ajira namuonea huruma sana maana unaweza kufa masikini kwa ahadi hizi za viongoz wetu, waziri kairuki katika bunge liliopita alipoulizwa swali na mh. Hawa ghasia kuwa ni lini serikalini itaanza...
  6. kdom

    Naomba kuelekezwa kuhusu bachelor of science in chemistry

    Mimi ni mwalimu mwenye level ya diploma katika masomo ya kemia na hesabu nataka nikajiendeleze degree kwa course (bachelor of science in chemistry) ambayo siyo ya ualimu, je inalipa na ni field gani naweza kufanya kazi kwa hiyo course? Kwa wataalamu ushauri tafadhali, matusi Hapana kabisa.
  7. kdom

    Mchumba wangu hataki nimfanyie suprise

    Nimeanzisha hii thread maksudi coz kwa kweli mchumba wangu ananinyima raha sana maana yeye yupo anaishi Ifakara kikazi then mimi nipo Singida kikazi but kitu cha kushangaza hataki niende kwake bila kumtaarifu mapema. Nikienda bila taarifa huwa ni ugomvi mkubwa sana inafikia stage...
  8. kdom

    Kwa hili TCU log sijawaelewa

    Ni ukweli kwamba TCU walibadili vigezo kwa mtu mwenye diploma kujiunga chuo kikuu ambapo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kujiunga na degree mtu alitakiwa awe na G. P. A Ya 3.5 na kuendelea lakini haikuchukua mda wakarekebisha vigezo kutoka G. P. A ya 3.5 hadi 3.0 and above,kitu ambacho...
  9. kdom

    Natafuta mchumba baadae tuoane.

    mdada mwenye umri usiozidi 23, mweupe au maji ya kunde n mostly wanted. Kama uko ready ni pm[emoji1]
  10. kdom

    Kwa hili Jumuiya ya wazazi CCm mnaendelea kukitia doa chama chenu.

    Ni ukweli kwamba jumuiya ya wazazi CCm imeuza baadhi ya shule zake hususani shule ya sekondari Hedaru iliyopo wilaya same mkoani kilimanjaro. Kitu cha ajabu ni kwamba wafanyakazi zaidi ya 40 katika shule hiyo bado hawajapata kulipwa stahiki zao ikiwemo malimbikizo ya mishahara yao baada ya...
Back
Top Bottom