Search results

  1. Jose M

    Ajira za wazanzibari kwenye mambo yatakayoondolewa kwenye muungano vipi?

    Nauliza tu maana nina utata. Kama tulikuwa hatuajiriwi Zanzibar kwenye mambo yaliyochini yao je Wazanzibari walioajiliwa kwenye mambo yaliyokuwa ya muungano zamani watarudi kwao? Nisadieni utata huu
  2. Jose M

    Wanafunzi kuchapwa viboko shuleni naunga mkono sana tu

    Namuunga mkono WAZIRI Mulugo kwenye hili. Wale wa Haki za Binadamu wanajifanya kama hawaishi Tanzania na kama wao walisoma Ulaya kwamba hawakuchapwa. Naomba tuwachape wawe na adabu mpaka tutakapo fikia kiwango wanachokitaka watu wa haki za Binadamu. Safi sana Waziri.
Back
Top Bottom