Search results

  1. 1800

    Sala sale sale! 48 eggs incubator for sale

    Habari wadau,automatic incubator zenye uwezo wa kuengua mayai 48 zinauzwa kwa punguzo la bei,kwa sasa bei ni Tshs 400,000/= na zina warranty ya mwaka mzima!kwa mwenye uhitaji anaweza kuni PM au apige no 0784 784634
  2. 1800

    48 eggs incubator zinauzwa

    Automatic incubator zenye uwezo wa kuengua mayai 48 kwa wakati mmoja zinauzwa!incubator ziko Dar es salaam,tunatoa 1 year warranty,ni Grade A,bei ni Tshs 500,000/=. Kwa mwenye kuhitaji apige namba 0784784634 au anaweza ni PM pia!
  3. 1800

    Toyota Chaser Gx100 inauzwa

    Toyota Chaser Gx100 inauzwa,ipo Dar es salaam,iko in a very good condition,namba ni BLP. Price ni 5,500,000/= maelewano yapo kidogo!kwa anaehitaji awasiliane nami kwa 0713670026
  4. 1800

    Ushauri: Nursery nzuri kwa DSM

    Wadau habari,samahanini kwa wale ndugu zangu wenye uzoefu na shule za watoto wadogo (nursery) umri kati ya miaka 4 - 6 naomba mnisaidie kutambua shule nzuri hasa katika maeneo ya Tabata ikiwezekana hata Bunju pia, Kama nitafanikiwa kujua na nursery schools zitoazo huduma ya boarding kwa maeneo...
  5. 1800

    Mambo ya Kufahamu Kuhusu Kilimo cha Karanga

    Habari zenu Wajasiliamali! Nakuja tena wadau hasa kwa wale wenye idea juu ya zao na la karanga katika soko na kilimo chake naombeni uzoefu wenu,juu ya zao ilo na changamoto zake hasa katika kulilima na changamoto zake sokoni! Mimi ni mgeni kabisa katika zao ili,na nimejaribu kufanya research...
  6. 1800

    Mashamba yanauzwa Msowero

    Shamba la heka 20 linauzwa Msowero,lipo Kilometa moja na nusu (1.5 Km) kutoka barabara kuu ya lami Msowero - Kilosa,bei ni Tsh 250,000/= kwa heka moja maelewano yapo,shamba ni tambalale,kwa walio serious na kuhitaji wanaweza kuni PM au kunipigia kwa 0713 - 670026 na 0784 - 670026
  7. 1800

    Shamba la mtoni linauzwa Kilosa Morogoro

    Wadau hasa kwa wale wanaotaka kuwekeza kwenye kilimo,kuna shamba la heka 70 lipo karibu na mto linauzwa,shamba ilo lipo katika kijiji cha Unone,wilayani Kilosa katika mkoa wa Morogoro,lipo karibu na makazi ya kijiji na shule ya msingi,ni kama kilometa 6 toka barabara kuu ya lami ya Dumila -...
  8. 1800

    Kiwanja kinauzwa Morogoro

    Kiwanja kinauzwa maeneo ya Bigwa Morogoro,kina ukubwa wa heka moja,kina miti michache ya mitiki,bei ni 15m kwa mwenye kuhitaji ani pm!
  9. 1800

    Incubator toka Uk

    Wadau nauza incubator toka U.K, zipo za aina mbili,aina ya kwanza ina uwezo wa kutotolesha mayai 176 kwa wakati mmoja ambayo bei yake ni 550,000/= na nyingine ina uwezo wa kutotolesha mayai 24 kwa wakati mmoja bei yake ni 300,000/. Incubator zote ni automatic,brand new in box with a receipt na...
  10. 1800

    Incubator toka U.K zinauzwa

    Wadau nauza incubator toka U.K, zipo za aina mbili,aina ya kwanza ina uwezo wa kutotolesha mayai 176 kwa wakati mmoja ambayo bei yake ni 550,000/= na nyingine ina uwezo wa kutotolesha mayai 24 kwa wakati mmoja bei yake ni 300,000/. Incubator zote ni automatic,brand new in box with a receipt na...
  11. 1800

    Mashamba yanauzwa Msowelo Kilosa

    Wadau habari zenu!kuna mashamba yanauzwa maeneo ya Msowelo wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro!zipo heka kumi (10) zilizopo karibu na mto Msowelo hizi zinafaa kwa ajili ya kilimo cha umuagiliaji na zimesimama Tsh 280,000/= kwa heka na pia zipo heka 50 kwa ajili ya kilimo cha kawaida hizi zina anzia...
  12. 1800

    Incubator inauzwa

    Wadau habari!nauza machine ya kutotoa vifaranga (INCUBATOR) toka U.K, yenye uwezo wa kutotolesha vifaranga 24 kwa wakati mmoja na bei ni shilingi laki tatu 300,000/= !kwa mwenye kuihitaji naomba ani PM
  13. 1800

    Incubator Inauzwa

    Wadau habari!nauza machine ya kutotoa vifaranga (INCUBATOR) toka U.K, yenye uwezo wa kutotolesha vifaranga 24 kwa wakati mmoja na bei ni shilingi laki tatu 300,000/= !kwa mwenye kuihitaji naomba ani PM
  14. 1800

    Incubator inauzwa

    Wadau habari!nauza machine ya kutotoa vifaranga (INCUBATOR) toka U.K, yenye uwezo wa kutotolesha vifaranga 24 kwa wakati mmoja na bei ni Tsh 300,000/= !kwa mwenye kuihitaji naomba ani PM
  15. 1800

    Kodi za kuingiza magari nchini

    Wadau naombeni msaada kwa wale wenye ujuzi na mambo ya kodi za kuingiza magari nchini hasa magari yaliyozidi miaka 10 toka yatengenezwe kwa maana ya kuanzia 2002 kurudi nyuma!hasa nilikua napenda kujua mjumuisho wa jumla wa kodi kwa magari kama ya Mitsubishi Airtrek,Mitsubishi pajero(GDI),Toyota...
  16. 1800

    Sheikh Ponda apandishwa kizimbani Morogoro

    Nipo katika viunga vya mahakama ya mkoa wa Morogoro, nimeona ulinzi mkali umeimarishwa na helicopter ya polisi kutoka Dar es salaam ikiwasili mnamo mida ya saa tano. Habari ni kuwa helicopter hiyo ilimleta Sheikh Ponda kuja kusomewa mashtaka yake, mashtaka ambayo hayakuzidi hata nusu saa...
  17. 1800

    Mgao wa Umeme umerudi?

    Wadau naomba kujuzwa,labda mimi niko nyuma,hivi mgao wa umeme umerudi nchini hasa katika baadhi ya mikoa?nipo mkoani Morogoro kwa wiki ya pili sasa,naona suala la umeme haliko stable kabisa,kila siku umeme lazima ukatwe kuanzia saa nne asubuhi,na kurudishwa kuanzia saa tatu usiku,wanachofanya ni...
  18. 1800

    Mayai ya Kwale Yanauzwa

    Wadau habari!kwa wale wenye kuhitaji mayai ya Kwale yanapatikana hapa Dar es salaam,kwa bei ya 20,000 kwa tray,punguzo lipo kutokana na idadi ya tray utakazochukua,kwa mwenye kuhitaji anaweza kuni PM au apige namba hii 0713670026, Asanteni
  19. 1800

    Toyota Mark X 2006 Inauzwa

    Iko katika very good condition,imetembea Km 78,000 price ni 15,500,000/= maongezi yapo!kwa wale walio serious wani PM tafadhali
  20. 1800

    Toyota Mark X 2006 inauzwa

    Iko katika very good condition,ni ya mwaka 2006,imetembea Km 78,000 price ni 15,500,000/= maongezi yapo!kwa wale walio serious wani PM tafadhali
Back
Top Bottom