Search results

  1. H

    Msaada wa website zinazouza magari Africa Kusini

    Heshima kwenu wadau, Naombeni msaada wa link za kuamini za mitandao zinazouza magari toka SA kama zile za Japani ambazo ni za kuaminika na si za kitapeli. Kuna gari aina ya toyota hilux ya mwaka 2010-2012 nataka kuagiza SA maana nasikia bei rahisi, ASANTENI.
  2. H

    Msaada wa website zinazouza magari Africa Kusini

    Heshima kwenu wadau, Naombeni msaada wa link za kuamini za mitandao zinazouza magari toka SA kama zile za japani ambazo ni za kuaminika na c za kitapeli. Kuna gari aina ya toyota hilux ya mwaka 2010-2012 nataka kuagiza SA maana nasikia bei rahisi, ASANTENI.
  3. H

    Nahitaji Noah old Model ya mwaka 2000-2001

    Iwe na namba D kilometa zisizidi 80,000KM, bajeti milioni 9.5. Kama unayo njoo PM tumalize biashara
  4. H

    Kampuni za ku-BeT na upangaji wa matokeo

    Wakuu heshima kwenu, Hebu tujadili hizi kampuni kubwa kubwa za kubet huko duniani, hivi hazihusiki na upangaji wa matokeo kweli!? Natoelea mfano Southampton inacheza na Arsenal, kwa kasi ya arsenal watu wengi naipa arsenal ushindi, hawa jamaa nadhani wanaweza kuona mshine zao jinsi watu wengi...
  5. H

    100% Pure leather Shoes made in Tanzania for Sell

    Wakuu kwa wale wazalendo wa kweli katika kukuza viwanda vya ndani nauza aina ya viatu(pichani) kwa shilingi laki moja (100,000) tu kwa jozi moja ya kiatu..... Karibuni sana
  6. H

    Naomba kufahamishwa kuhusu mabasi ya daladala aina ya TATA

    Kwa yeyote mwenye utaalamu wa kujua garama halisi ya mabasi tajwa hapo juu,likiwa jipya na kamupuni inayosambaza kwa upande wa tanzania...... Asanteni
Back
Top Bottom