Wengi watakuwa wanamkumbuka Iraqi Information Minister Bw. Muhammed Saeed al-Sahaf nicknamed Comical Ali, ambaye wakati wa vita ya Iraq.. hakukubali kuwa majeshi ya mafisadi yameingia Iraq ingawa milio ya risasi ilisikika huko nje...alikubali kuziba masikio na kuamini Sadam Hussein ameshinda...
Wakati niko JKT kwa mujibu wa sheria nilikuwa nimejifanya mlokole ili kukwepa shuruba za maafande..Yaani hata nikijfanya serure (mgonjwa) wanaamini. Sasa kuna afande mmoja alikuwa mkali ile mbaya..push up nje nje..lakini kwa bahati nzuri alikuwa anatoka mkoa mmoja nami na mara zote alikuwa...
Konda wa daladala na dereva wake walikuwa wanakula vichwa hadi wanachanyikiwa kiasi wakaapizana kuwa kama huko kwa Mungu kutakuwa na kula vichwa kama wanavyokula sasa basi itakuwa peponi. Basi wakakubaliana kuwa yeyote mmoja wao akifa aende kuona hali ya kula vichwa huko kwa Mungu halafu afanye...
Chukua mfano wa wewe unatembea kutoka Mbagala hadi kariakoo wa miguu kwenda kuuza bidhaa na yule anayekwenda na baiskeli sehemu hiyo hiyo..nani ana maendeleo..
Pia chukua mfano wafanayakazi wa ATC wanaosota ubao bila kazi na kulipwa bure kwa ruzuku na wale wa RwandaAir ambao watakuwa...
Hao wanasukuma gari karibu wote wakirudi nyumbani wanarudi kwenye Giza na vibatari...na hawajui ni nani amesababisha hiyo ili mradi bosi wao amewapa posho ya kwenda bungeni ambayo wametumia kununua mihogo ya kula mwezi mmoja na hawajui wataishi vipi baada ya bunge kuisha..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.