Hakuna Ukwel Wowote Elimu Inayotolewa Mum Ni Sawa Na Vyuo Vingne Course Ni Zile Zile. Na Sehem Yeyote Kwenye Taasisi Za Din Lazima Watu Watafunzwa Kwa Maadil Ya Din Yao. Ndicho Kinachofanyika Mum Na Sio Kuwatoa Maustadh Bal Waalim Wenye Maadil Mazur Ya Dini.
Samahan Wakuu Kwa Yeyote Atakayependa Kufaham Undan Wa Chuo Cha Mum Ni Bora Aende Kwenye Website Yao Www.Mum.Ac.Tz Coz Hum Ndan Kuulizia Hko Chuo Ni Kuleta Mtafaruk.
well done!
umezungumzia something good, dt can help them in the struggle of life. ujasiriamali ni kitu kzr san, ht bda ya kupata ajira kwan inaongeza kipato so ukiwa chuo unaweza kufanya biashara k.m.v. kuuza vocha, viatu. n.k
habar zenu wenzangu, msema kweli mpenzi wa mungu nimetokea kumpenda mwanaume fulani ukwel wa kumpenda ila kinachonisikitisha hata hatambui hilo kwan hata salam hanipi na kumuambia ukwel naogopa. hivyo nabaki naumia mwenyewe. je wenzangu nifanyaje?
umefanya vzri kumwambia ukweli mkeo kwa7bu laiti ungekufa bila kumwambia ungepata dhambi 2 ya kumdhulumu mkeo na kuzn. hivyo sasa fanya toba kwa mungu wako akusamehe ya kuzn. kuhusu mkeo mwache mpk hacra zitakapomtoka ila kkubwa inakubd ujpendekeze.
kwanza pole sana dadangu kwa kuwa disappointed juu ya huyo mwanaume ambaye anakupa mawazo mpaka unawaza kutoa mimba, mi nakushauri usitoe mimba yako kwasababu kufanya hivyo ni dhambi mbele ya mungu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.