Franco amefia Nairobi, ambako alipelekwa kwa matibabu zaidi. Atazikwa kwao Marangu Moshi, ijumaa tarehe 11. Mungu aiweke roho ya marehemu pahala pema peponi.
Joseph Nyerere alishashika nyadhifa tofauti katika nchi hii. Alishakua Waziri Mdogo wa Utalii, Mkuu wa Mkoa Mwanza n.k. pia alikua mbunge wa muda mrefu, na alishakua mbunge wa East Africa Legislative Council. Mengineyo, wazo la kuanzisha JKT ni la kwake, alitoa Israel, na pia alianzisha TANU...
Nyerere hakumkubali JK, in fact alimtumia ujumbe Mkapa kuwa mtu yeyote aliyeshindana nae kupata urais amtupe mbali, kwani nia ya kuutaka urais bado itakuwepo. Mkapa akamtupa JK Wizara ya Nje, akijua atakua harmless, kumbe kasahau mtandao ulikuwa umeshaanza kazi, na pia kuingia kwa wakina Rostam...
Tanzania ilivotuma jeshi kwenda kuikomboa Seychelles, na mpaka Seychelles iko jinsi ilivyo kwa sababu yale mapinduzi yalizimwa na jeshi letu, pia ni wrong policy?
Hapa ndio CCM wanapopotezana na wananchi. Wanatafuta point kwa lolote baya linalotokea sasa hivi kuwa ni kosa la history, kama vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.