Wakuu naomba muongozo mwakani nahitaji kulima kilimo cha maharage ya njano. Nahitaji kupata taaluma kidogo nipo wilaya ya Moshi. Pia kama nitapata na shamba la kukodisha itakua vizuri zaidi
Ni pamoja na vitu vingine kama vile TELEVISHENI, CAMERA, LAPTOP, DESKTOP, HOME THEATER, PLAYSTATION, MEMORY CARD, FLASH, POWER BANK. n.k kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0652971495
Ni pamoja na vitu vingine kama vile TELEVISHENI, CAMERA, LAPTOP, PLAYSTATION, SELF STICK, MEMORY CARD, FLASH, POWER BANK, N.K Vyote hivyo utapata kwa jumla na rejareja kwa mawasiliano zaidi piga simu namba 0652971495
Habarini wanaJF,
Kuna msichana hapa mtaani kwetu kila tukifanya mapenzi tukifika katikati ya mechi anatokwa na damu. Sio bikra lakini hii hali hujirudia mara zote.
Je inaweza kuwa ni ugonjwa? Na kama ni ugonjwa nini tiba yake?
Nawasilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.