Makonda pekee ndiye mwenye uwezo wa kujisafisha hivyo funga domo lako. Mimi nakubali jina langu la tatu ni la babu yangu na la pili la baba ila la kwanza langu tatizo nini? Bila shaka utakuwa mtoto wa kunyonya ziwa la mama.
Kosa hapa si yeye kuteuliwa au aliyemteua. Kosa ni kutumia vyeti vya mtu mwingine ili afanikishe ndoto zake kitu ambacho mheshiwa Rais alikipinga sana na sisi sote tukamuelewa bila kujali tofauti zetu za kisiasa. Wengi walifukuzwa kazi baada ya kuhakiki vyeti vyao. Sheria msumeno ukata huku na...
Swali naamba 4 ni la msingi sana maana jana nilijiuliza mara kumi kumi bila kupata majibu. Inavyoonekana ukawa inacheza na akili wanachama wao huku viongozi wakimtambua Magufuli
Ni bora Ukawa ikaaachia wabunge ake wafanye kazi waliyotumwa na wananchi na sio kufanya kazi ya chama maana wabunge wao wamechaguliwa na wananchi alipoona anaweza kuwapigania shida zao. Hivyo basi kunauwezwekano wakawa wamepata kura za wanachama a CCM pia sasa watajisikiaje wakiona waliyemuamini...
Mauaji yanatokea sehemu nyingi tu na tunaona wapo watu wamehukumiwa kwa mahuaji na wengine kunyongwa sasa kwani nini hili Jeshi linaanza kushutumiwa ? Tuliache lifanye kazi yake hata kama lipo chini ya serikali ya CCM si ndio demokrasia hiyo siku CDM ikiwa madarakani jeshi pia litaheshimu...
Huyu Lema anatakiwa apimwe akili anaweza kuwa na tatizo hivi anawezaje kuchochea fujo kiasi hiki kwa sababu tu kafiwa na mwanachama wake. Hivyo vita avianzishe ndani ya familia yake sisi atuache na imani na kudumaa kwetu
RIP marehemu
hakuna katibu mkuu wa serikali ya JK bali wapo wa JMT tu. Kwa faida yako makatibu sio wanasiasa na nafasi zao hazitokani na siasa kama mawaziri wao ni watendaji wa kuu wa serikali. Hata kama ukawa wangeshinda angeendelea kubaki madarakani mpk pale taratibu za utumishi wa umma zitakapo fuatwa mf...
Wanaopinga ni wale wa upande wa pili ila ni vizuri kukubali demokrasia ifanye kazi wengi wape hivyo sote tumuunge mkono rais Magufuli. Tukio la kuapishwa rais ufanyika mara moja kila baada miaka 5 sasa tatizo nini ? Tumieni huo muda kwenda kuudhuria sherehe hizo adimu
Dr Slaa watamkumbuka sana na ninavyomjua yule mzee hawezi kwenda tena Chadema labda kwa Zitto. Sijui watakuja na operation gani mwaka huu? Pengine operation Ng'ombe itakayoanzaia Monduli
Wenye akili watabaki na akili zao na wenzangu na mie sukuma sukuma wataendelea kusukuma lau kama mngejua hatari ya chadema kufa baada ya uchaguzi sijui kama mngemkaribisha huyu Lowasa. Hizi Chadema bila ya operation zake za kupinga ufisadi ingekuwa hapa? jibu hapana kingekuwa chama cha tatu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.