Hivi kweli ww Kama kiongozi mwenye Mapenzi mema na Nchi yako na Kizazi kijacho Unaweza kufanya Madudu kama hayo kweli...Unapitisha hela ya Mwananchi wa kawaida na Kuibariki kutumika kijinga namna hiyo Kweli.............................
So mwanamke anajuaje kama mzunguko wake ni 28 cause mm mke wangu hedhi yake huwa ni kuanzia tareh 15 so dats meanz yake inachukua muda gani. Pls help me to knw it.
Hiv kaka kweli hii Nchi inarais au kituko...unajua katika marais wote waliopita huyu tulienae sasa ajielewi na wala ajitambu,,sasa kama ww ndo rais wa nchi na mwenye zamani unawezaji kutamka maneno kama hayo mbele ya kadamnasi....yaani mpaka hapo inaonekana jamaa ana maamuzi yalio sahihi..na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.