Recent content by wa marangu

  1. W

    Wapi napata mawe meupe?

    Nenda tanga
  2. W

    Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

    Kama una iman nawe kumbuka hata ibra alijaribiwa ndo mana anaitwa baba wa iman.shetan nae alipata ruksa kutoka kwa mungu ili amjaribu ayoubu hata shetan alimjaribu yesu
  3. W

    Ukweli kuhusu Israel, Waarabu, na Ibrahim

    Kuna majaribu mengine ni kipimo cha imani
  4. W

    Mkutano wa CCM Kawe, school bus, mabasi ya mikoani, madaladala nk. yametamalaki

    Hata uku kgamboni nimeona mabasi yamebeba watu wa ccm wametoka huko mbele ya mabasi wameweka bendera za ccm.ila nilikuwa cjui, asante kwa kunijulisha
  5. W

    Mke wangu kaning'ata usoni nimfanyeje?

    Kumfukuza itakuwa n upenyo kwenda kwa mchepuko wake akaenjoy zaidi
  6. W

    Nani anawakumbuka wachimba kaburi?

    Kwan madocta waliomuuguza marehemu hawalipwi? Chakushangaza na wao pia wanashukuriwa
  7. W

    Hakuna tofauti kati ya mtalaka aliyezaa na mshale wa speed: Hata utembee nae speed gani kuna mahali tu mshale utarudi zero

    Wakati mwngne ss wanaume tuna makosa,ila lawama tunawapa wanawake.tumejijengea mfumo dume,kuna jamaa alikuwa anamwibia mke wake pesa anaenda kulewea mwanamke kamkimbia ila lawama zimeenda
  8. W

    Vijiwe vya kahawa, wacheza draft, na sehemu za wazi wanapokaa majobless

    Jamaa alikuwa anaitwa side alikuwaga mteja wangu namwuziaga kahawa ya moshi robusta
  9. W

    Utajiri wa Magofu ya Rapta

    Kama n uongo unasoma nn sasa yaani n uwongo alafu unasoma,makalio ya mamako we
  10. W

    Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino

    Tafuta magome ya mti wa mwembe yatwange kwenye kinu uwe unga kisha chemsha mpaka yachemke afu ipua weka kwenye chupa uwe unapigia nayo mswaki na kusukutulia nayo hakika utapona kabsa.nakupa onyo kama unaumwa jino la juu ucje kuling"oa mana utaatarisha maisha yako kwani mishipa ya fahamu...
Back
Top Bottom