Recent content by Van Walter

  1. Van Walter

    CAG: Watu wawili waliingiza magari 238 na walipewa msamaha wa kodi wa 3.5bn

    July 2015 to June 2016 Kwahiyo budget hiyo imekuwa chini ya marais wawili maana Jpm aliapishwa December 2015
  2. Van Walter

    Siku za Hussein Bashe ndani ya CCM zinahesabika!

    Wewe ni ƙuma na una uwoga wa ƙiƙuma kumamaƴo
  3. Van Walter

    Rais Magufuli amteua Prof. Sylvester Mpanduji Mkurugenzi SIDO

    Teeeh. Kwahiyo atarudi COSTECH au anakuwa kitaa
  4. Van Walter

    Rais Magufuli amteua Prof. Sylvester Mpanduji Mkurugenzi SIDO

    Huyu Omari kwanini katenguliwa aisee. Si alipewa na JK juzi juzi tu hapa.. au ni performance ya chini sana.
  5. Van Walter

    Namtafuta Reka Ntipoo

    0718644229 Bado yupo Green acres kama principal pale
  6. Van Walter

    USHUHUDA: Hii ndiyo michezo hatarishi ya Kampuni ya Mafuta ya Oilcom

    Nyie hamjamjua Faiza, yeye kwenye issue za msingi ka hizi analeta na udini. Hapo ni kisa huyo jamaa wa OILCOM ni mwislam. Sasa yeye anaona kama mna attack waislam. Angalia hata anavyomtetea JK unaona kabisa mwelekeo wake ni wa kidini, wakati wenzie tuko kwenye mtazamo mwingine kabisa wa jinsi...
  7. Van Walter

    Aunt Ezekiel na Ray wazungumzia kurudi kwao CCM - Live on Clouds TV

    Ningekuwa mmoja wa strategists wa ccm, ningewashauri angalau hizo hela wangempa Klyn aliezaa na mtu ka Mengi. Angalau huyo ana influence. Lakini sio aunt Ezekiel ambaye anazaa na mastejishoo ya diamond. Kweli mzaa na mastejishoo ndio atuinfluence wabongo. CCM hakuna strategists. Naamini sasa...
  8. Van Walter

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge...
  9. Van Walter

    Kikao cha Kamati Kuu CHADEMA, Edward Lowassa ndani

    lengo la kila chama ni kukamata dola, hilo ndiyo lengo kuu. kwahiyo hawawezi kuwa na permanent enemies hawa cdm bali ni permanent interests. kwenye hili ni muhimu watumie popularity ya eddo. hata kama watakosa urais. itawafaidisha sanaaa kwenye ubunge. naiona tanzania yenye wabunge...
  10. Van Walter

    Msanii wa Filamu "Adam Philip Kuambiana" afariki dunia

    Adam Kuambiana ni kweli amefariki. Lakini sio ajali ya gari. Amekutwa ameanguka hotelini maeneo ya sinza. Inasemekana alikuwa anaumwa. Sasa sijui alijidunga na matungi wakati ana madozi au labda he was druged. Lkn alipowahishwa kwa mama Ngoma alikutwa ameshafariki. Sent from my BlackBerry 9800...
  11. Van Walter

    Rais wa Gambia atangaza nchi yake kuwa dola ya Kiislamu!

    Zanzibar wasahau. Maana serikali sikivu ya CCM imeamua kutoipa Zenji mamlaka kamili..:shocked:.. JK ana support ya nchi za magharibi. Hao Zenji tukiwaacha tu magaidi wanaojitangaza kwa kutumia uislam wataingia na kuanza mambo zao za kujilipua. Hatuwezi kubali. Kwahiyo Zanzibar wapende wasipende...
  12. Van Walter

    TRA's Kitilya to retire from public service, Blandina Nyoni or Dr. Dau to take over...

    Tatizp la Dr Dau ni UDINI ana mambo za uislamu sana. anatuhuma nzito sana za kuwa na ubaguzi wa dini pale NSSF.
  13. Van Walter

    Spika Makinda acha kudharau Watanzania

    hahahahaaaa!!! ume-serukamba mbele ya mama mkwe..
  14. Van Walter

    Mkurugenzi mtendaji wa NBC Lawrence Mafuru asimamishwa kazi

    Kuna mzungu mmoja ambae alikuwa director of finance NBC..a south African Boer ..ndiye alikuwa akiingilia mipango yao mingi sana ya ubadhirifu..wao wakina mafuru na maharage chande wakamwekea fitina akafukuzwa..sasa inasemekana mzungu huyo aliporudi ABSA akatoa ripoti ya jinsi mafuru na maharage...
Back
Top Bottom