Nadhani kafany busara sana, majukumu yataongezeka kwa watoto wake wote....maana hakuna tofauti wote ni watoto wake iwe wa kuzaa...bilogical...au wa kuwaasili..adopted....wote ni sawa....hawatofautishiki....ni watoto wake....
Mkuu nimekuelewa......nin kinakufanya udhani havilingani kwa bei? Uhuru ni wake kuweka bei...wewe kama mteja usinunuwe....
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.