Carina cc 2000 no A,asee ni hatr san iyo kitu,ssa muuzaji kasifia ila kuna upande wa ushaur pia kua mtubakinunua atapat hasara gan?kwan hata taxi uezi fanya ni kubwa sana..
Asee,mwakyembe ni mbunge wangu na mbaya zaidi ni jirani yangu nyumba ya tatu toka kwao ikolo kwa mama yake njia ya kwenda ngonga,hii n kwa faida ya wadau humu kule hakana alichofanya,kna manomba ya maji kila baada ya nyumba kumi yalijengengwa na wananchi miaka thelathini iliyopita kwa hisani ya...
Ila kwa mtazamo wang wadau swala la kujiunga na kua kitu kmoja kweny siasa hasa kwa vyama sio baya lina mlengo mzur ila pia fafsr yake ni udongo na udhaifu wa chama na chama,kw upande mwnngne ukija kweny lengo la chama n kushka dora na kuimarsha chama na si vngnevyo ssa hii hali ya udugu wa...
Dr bana mara nying amekua akituhumiwa kw kufata matakw ya viongz hasa wa cham tawala,asitafute kujiweka safe side apinge hoja avunje hoja na tuhuma afu arudshe kw slaa majib nd tutaona kakomaa Kisiasa.
Nna waswas na akili na mawazo yako,ujui kua maswal ya talents yanaenda mbali na huy mdada angeanza kutafuna rasilmali na muda wa qa tz bila sabbu cz wanapewa platform ya kutosha kam rollmodals,yapasa kumwajibsha cz n bayan hana mvuto na sifa ya kua kioo,kaz ya miss bada ya hapo ni za jamii ssa...
Sio hiar yake n kwamba yale madai karbu yote ya watanzania timamu wapenda maendeleo ya kweli n kua sahihi afu mtu mwenywe ananenepeana kila kukicha yaonesha dhahr shair kua n mzaz kabsaa..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.